Makapuku Forum

Makapuku Forum

Huyu atakuwa amezidi thamani hata hilo neno mke. Sio kwa kugombaniwa huku.
aiseeee shunie mm huyo au nyie mna shunie wenu mliemuunda wenyewe
Atakuwa anadamu au nyota ya mchanga wa ACCACIA

Mume mwenza (Lee). Nimekuta mahali watu wanazozana eti hili guu ni la Shunie . Huyu Shunie huyu anapendwa na kutamaniwa na wangapi hapa JF? Ana uzuri wa aina gani huyu Shunie? Kama nilivyosema jana, mi nimeamua kuhamishia majeshi Kigali. Endeleeni kugombania huyu Shunie wenu hapa JF
57b2e54915114d92e64982e3c55df6fb.jpg
f81607afc3a67ca5d6cad662130dab72.jpg
 
Napenda kuwa kumbusha tena kwa MSISITIZO MKUBWA, [b/] tarehe 09. 04. 2017 Jukwaa litakuwa linatimiza MWAKA MOJA toka lianzishwe. Maandalizi ya
Kipi kafanyike zaidi katika kupongezana na kukabiliana na Changamoto za kila siku humu.
IKIWEZEKANA ka festival flani hivi kafanyike pia?
NAOMBA KUWASILISHA HOJA.
naombeni mwaliko
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom