Lee
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 44,001
- 150,526
Avatar mbayaKanyonyeshe hukoo
Avatar mbayaKanyonyeshe hukoo
Mda bado yalikuwa maumivu ya kawaida sio uchunguMpk saa ngp ss tutamuona anko![]()
Kwakwel ni mbombo ngafuMda bado yalikuwa maumivu ya kawaida sio uchungu

Ni wewe. Inaonekana uko mashuhuri sana hapa JF. Najaribu kufuatilia umaarufu huo unatokana na nini. Nina nadharia tete (hypothesis) kadhaa ila ninayoitathmini kwanza pengine ni kutokana na uzuri wako. Nikimaliza hiyo nitaangalia upole na utu wako na jinsi unavyojibizana vyema na watu hapa JF (sijawahi kukuona ukitukanana na mtu; na hiki hasa ndicho kilinivuta kwako kama sumaku). Nikimaliza hii nitajaribu pia kuangalia kama mzee wa wivu naye anakupandisha chati. Kama nitakuwa sijapata majibu itanibidi nigeukie hata upande wa pili...aiseeee shunie mm huyo au nyie mna shunie wenu mliemuunda wenyewe
Maweeeee! Kuna watu humu angekuwa ameshawarestisha in pisiIngekuwaje kama angekuwa ni Nyegere?



Usipo msema shunie hutuliiiNi wewe. Inaonekana uko mashuhuri sana hapa JF. Najaribu kufuatilia umaarufu huo unatokana na nini. Nina nadharia tete (hypothesis) kadhaa ila ninayoitathmini kwanza pengine ni kutokana na uzuri wako. Nikimaliza hiyo nitaangalia upole na utu wako na jinsi unavyojibizana vyema na watu hapa JF (sijawahi kukuona ukitukanana na mtu; na hiki hasa ndicho kilinivuta kwako kama sumaku). Nikimaliza hii nitajaribu pia kuangalia kama mzee wa wivu naye anakupandisha chati. Kama nitakuwa sijapata majibu itanibidi nigeukie hata upande wa pili...
Imagine hata huyu naye anadai eti siku ya Valentine alikuwa amembeba Shunie. Shunie, Shunie kila kona duh! Au huyu ndiye Prof. wa wivu hapa JF? Beautiful couple...![]()
Mkuu Nyagei. Honey Badger huyu hapa anatishia uhai wangu laivu. Nifanyeje?Usipo msema shunie hutuliii
Jiulize y anazungumziwa kila kona ila katulia na Mimi
Mkuu unachokitaka utakipata


ni wa wote kwa hivyo vumilia tu kwa sababu hakuna namna. Vinginevyo utagombana na kila mwanaume hapa JF...
Achana nae kijana ...alafu futa kaul ni wangu tu sio woteMkuu Nyagei. Honey Badger huyu hapa anatishia uhai wangu laivu. Nifanyeje?
Mkuu Lee, hizi ndizo shida za kuoa mwanamke mrembo. Mwanamke mrembo kama Shunieni wa wote kwa hivyo vumilia tu kwa sababu hakuna namna. Vinginevyo utagombana na kila mwanaume hapa JF...
Maweeeee! Kuna watu humu angekuwa ameshawarestisha in pisi![]()

hubby baeBaby swty
Dawa ya honey badger ni kumpa tu pilipili kwenye asali yakeMkuu Nyagei. Honey Badger huyu hapa anatishia uhai wangu laivu. Nifanyeje?
Mkuu Lee, hizi ndizo shida za kuoa mwanamke mrembo. Mwanamke mrembo kama Shunieni wa wote kwa hivyo vumilia tu kwa sababu hakuna namna. Vinginevyo utagombana na kila mwanaume hapa JF...
utaniua ujue usinifanyie hivyoBaby simu ilikuwa silent
aiseeeNi wewe. Inaonekana uko mashuhuri sana hapa JF. Najaribu kufuatilia umaarufu huo unatokana na nini. Nina nadharia tete (hypothesis) kadhaa ila ninayoitathmini kwanza pengine ni kutokana na uzuri wako. Nikimaliza hiyo nitaangalia upole na utu wako na jinsi unavyojibizana vyema na watu hapa JF (sijawahi kukuona ukitukanana na mtu; na hiki hasa ndicho kilinivuta kwako kama sumaku). Nikimaliza hii nitajaribu pia kuangalia kama mzee wa wivu naye anakupandisha chati. Kama nitakuwa sijapata majibu itanibidi nigeukie hata upande wa pili...
Imagine hata huyu naye anadai eti siku ya Valentine alikuwa amembeba Shunie. Shunie, Shunie kila kona duh! Au huyu ndiye Prof. wa wivu hapa JF? Beautiful couple...![]()

hahahahhahUsipo msema shunie hutuliii
Jiulize y anazungumziwa kila kona ila katulia na Mimi
Mkuu unachokitaka utakipata
Tupoleo sitaki kupost ujinga kabisa ila nauliza tu swali...hivi vyombo vya habari huwa vinaoshwa??
miss u baby Isha
jamani me ni mshabiki damu wa man united hivi kuna shabiki mwenzangu humu??
naelekea uwanjani
viva forever kapukus
Glory Glory Manchester United
ukimaanishaDawa ya honey badger ni kumpa tu pilipili kwenye asali yake
usiniambie wamefungwaDah United sijui hata nisemeje