Nyagei
JF-Expert Member
- Jul 7, 2015
- 13,201
- 44,601
Nakimbiwa nakimbia?Ebuuu kwendaa zakoooo
Ndoo maana unakimbiwaa
Nakimbiwa nakimbia?Ebuuu kwendaa zakoooo
Ndoo maana unakimbiwaa
Tehehehe yani pamoja na kupindua jina bado umejitahidi lijilikane. Huu sasa ugomvi wa mawe kwenye nyumba ya vioo.Cc . BlessedHope.
Anakuhitaji vp.
Unamjua Baba mchungaji.Tehehehe yani pamoja na kupindua jina bado umejitahidi lijilikane. Huu sasa ugomvi wa mawe kwenye nyumba ya vioo.
Umeona eeh! Jamaa ana wivu honey badger (nyegere) cha mtoto. BP inamhusuNa huo wivu wako sasa sijui



Pimbi mwana harakati.Sema neno Chaplin na roho yangu itapona
Huyo ni sawa na Gwajima kwa yule dem wa SHILAWADU.Unamjua Baba mchungaji.
Bless sio wako.Huyo ni sawa na Gwajima kwa yule dem wa SHILAWADU.
Hao wanaosema wao, wajipange upya. King of all love davi and all warmly pets is in da house. Am the one who make ha to say again and again.Bless sio wako.
Unatafuta vita.
Sawa ngoja tumsikie mwenyewe BlessedHope atasemaje kuhusu hii battle yenu.Hao wanaosema wao, wajipange upya. King of all love davi and all warmly pets is in da house. Am the one who make ha to say again and again.
Inazidi kuangamiaPimbi mwana harakati.
Tutaona.Inazidi kuangamia
Ingekuwaje kama angekuwa ni Nyegere?Umeona eeh! Jamaa ana wivu honey badger (nyegere) cha mtoto. BP inamhusu![]()
Asante love!!!!!!!Asanteee babe wanguu..
I was a little bit busy. Mimi ndo napata lunch now..
Karibu mamie
Na wewe umeaminiHapanaa...!
Huu ni muda wa mama mkwe kukanda kanda sasa..
Pole honeyHahaha!
I took it serious..

hapa makapuku mbarikiwe sana sana Mungu abariki kazi za mikono yenu.tunakupendraaa piaNimewamis wapendwa,mbarikiwe sana sana.
Malkia wa nguvuhapa makapuku mbarikiwe sana sana Mungu abariki kazi za mikono yenu.
Nawapenda sana makapuku ninyi ni familia yangu Love you sana.