Makapuku Forum

Makapuku Forum

HII NDIO SABABU ILIYONIFANYA NITOE ILE AVATAR YA MICHAEL SCOLFIED. HUYU NI MTU WA TATU SASA.
DahafrazerilJF-Expert Member
[HASHTAG]#217[/HASHTAG]
2 minutes ago

Joined: Jul 28, 2015
Messages: 549

Likes Received: 468

Trophy Points: 80
New

Mbona hii ikobomba pia broo
Unanishaurije.
Kama ipo bomba ni sawa!

Binafsi naipenda ile ya mdada fulani hivi "Kama kaona aibu vile".
 
Napenda kuwa kumbusha tena kwa MSISITIZO MKUBWA, [b/] tarehe 09. 04. 2017 Jukwaa litakuwa linatimiza MWAKA MOJA toka lianzishwe. Maandalizi ya
Kipi kafanyike zaidi katika kupongezana na kukabiliana na Changamoto za kila siku humu.
IKIWEZEKANA ka festival flani hivi kafanyike pia?
NAOMBA KUWASILISHA HOJA.
 
Mume mwenza (Lee). Nimekuta mahali watu wanazozana eti hili guu ni la Shunie . Huyu Shunie huyu anapendwa na kutamaniwa na wangapi hapa JF? Ana uzuri wa aina gani huyu Shunie? Kama nilivyosema jana, mi nimeamua kuhamishia majeshi Kigali. Endeleeni kugombania huyu Shunie wenu hapa JF
57b2e54915114d92e64982e3c55df6fb.jpg
f81607afc3a67ca5d6cad662130dab72.jpg
 
Mume mwenza (Lee). Nimekuta mahali watu wanazozana eti hili guu ni la Shunie . Huyu Shunie huyu anapendwa na kutamaniwa na wangapi hapa JF? Ana uzuri wa aina gani huyu Shunie? Kama nilivyosema jana, mi nimeamua kuhamishia majeshi Kigali. Endeleeni kugombania huyu Shunie wenu hapa JF
bb5097bbc2f5cd1e42d8b1198165d0cf.jpg
Atakuwa anadamu au nyota ya mchanga wa ACCACIA
 
Mume mwenza (Lee). Nimekuta mahali watu wanazozana eti hili guu ni la Shunie . Huyu Shunie huyu anapendwa na kutamaniwa na wangapi hapa JF? Ana uzuri wa aina gani huyu Shunie? Kama nilivyosema jana, mi nimeamua kuhamishia majeshi Kigali. Endeleeni kugombania huyu Shunie wenu hapa JF
bb5097bbc2f5cd1e42d8b1198165d0cf.jpg
Atakuwa anadamu au nyota ya mchanga wa ACACIA. Kwani sio Pombe, wala Spika au Katelephone (kasimu) wote walikuwa na hamu ya kuushika.
 
Mume mwenza (Lee). Nimekuta mahali watu wanazozana eti hili guu ni la Shunie . Huyu Shunie huyu anapendwa na kutamaniwa na wangapi hapa JF? Ana uzuri wa aina gani huyu Shunie? Kama nilivyosema jana, mi nimeamua kuhamishia majeshi Kigali. Endeleeni kugombania huyu Shunie wenu hapa JF
57b2e54915114d92e64982e3c55df6fb.jpg
f81607afc3a67ca5d6cad662130dab72.jpg
Kukaribisha watu kumbe ndo walivo hivi ??

My swty shunie kazi tunayo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom