Makapuku Forum

Makapuku Forum

Good morning all kapuku ,ni Siku nyingine tena Mungu katujalia kuiona na nashukuru sana kwa upendo wenu

Naomba mtuweke kwenye maombi yenu make mpenzi kipenda roho changu shunie mungu akijaria Leo au kesho mnaweza mpata anko naona kaamka na uchungu ila shaka ondoa najua Sara zenu naamini atakuwa poa

Niko mbali nae kidogo ila nshaanza safari ya kuelekea hospital aliyopelekwa ..nafikiri mlijua ni utani wa humu kapuku ila ni kweli mm na shunie ni wapenzi kabisa ndo maana wengine wanaona nina wivu

Soon tutayapitia magazeti
f652b5602470849054d20d3b0a00d438.jpg
HONGERA SANA BRO.
YAANI MM NAJUA KUA HUA MNAIGIZA KWAKWELI.
MYNGU ATAMSAIDIA.
HOPE UTATUONYESHA MTOTO.
Nakumbuka maneno yako siku ile Namtokea FREM ZERO uliniambia
"Mapenzi ya humu ni mubashara kabisa"
Hongera zenu.
Sakayo & Transcend na nyie tunataka iwe hivyo.
 
Aishah wa mwaka jana mambo mrembo
Komaaaa ni shem wako kwa snipes
Nikikuta umenizuga wewe utakipata

Tahadhari
Hua huishiwi vituko ww daah
Niko poa mrembo wa nguvu
Nakuambia kaa mbali nae please. .
Wakuu baadae sana takuja kuwa cheki
-Lee empire
-shunie
-mondray
-transcend
-quigley
-mkubhi
-aisha2016tambua kuwa nakupenda sana
Karibu kwenye ufalme wa moyo wangu usaini mikataba ya kuwa na mimi mpaka mwisho wa dahar

baadae family
Sawa Soud baadae mzee mkavu.
Aisha mpotezeee tafadhari..
 
Morning Brothers & sister
  • Transcend
  • Obe
  • Musolin5
  • Lee empire
  • Shedede
  • Snipes
  • Nyagei
  • Sakayo
  • Werrason
  • Shululu
  • Bitoz
  • Aisha2016
  • Clkey
  • Kabumbu
  • Quigley
  • Blessed Hope
  • Shunie
  • Denood
  • Nawatakia asubuhi njema. Nawapenda sana ndugu zangu Mungu abariki kazi ya mikono yenu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom