Waandishi wa vyombo vya habari vyenye nasaba na ccm wamewasili katika mkutano wa Mkuu wa Mkoa wa Dar, Vyombo hivyo ni:
1. TBC 1, TBC Fm - Mali ya Serikali.
2. Uhuru, Mzalendo - Mali ya CCM.
3. Habari Leo, Daily news - Mali ya serikali.
4. Michuzi blog/TV - mali ya kada mtukufu.