Makapuku Forum

Makapuku Forum

Habari wakuuu mko poa?
Naona kuna watu wanalia humu ajili ya kuachwa.
Halafu kuna mtu nimeona anajipendekeza kwa ukhuty wangu. ONYO.. Kama anataka nimfanye msukule wa kuswaga dagaa ziwani aeendelee.
Pages nyingi sana nimetoa like hadi kidole kimechoka pg 30!! Ur so awesome
Hahahah unapotea sana hadi wanyang'anywa
 
Clkey yanini uumize moyo wako kwa kiumbe ambaye anamilikiwa na kiumbe mwenzio wakati viumbe tupo apa wenyekujua kucare viumbe tafadhar clkey fikiria mala mbili mbili kuhusu ujio wangu kwako
Nitakubalije kushindwa kiasi hicho bwana, tulia hadi atoe talaka ndo nitajua kweli kadhamiria kuniacha otherwiseeee bado sijakubali
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom