Morning family..!
Leo ni siku nyingine !
Lile ulilopanga jana hakikisha linafanikiwa leo leo..kama kuna ambalo jana hukumaliza hakikisha unalimaliza leo
Morning motivational
changamoto ndio mwanzo wa ufumbuzi ..penda sana kuwa mtu wa changamoto.
Face the reality..! Make it happen
Salaam mkuuGoodmorning family
tunakupenda pia Nyagei
Na kwako pia dictatorLeo katika Historia;
NIWATAKIE SIKU NJEMA.
Mama umenenaKampany umepata season unataka je huyu anekupa kampan atakua anakuangalia tu ukiwa na seasons tena siku ya kwanza ..sio kuongea kufahamiana na kushauriana?
Habari ya mchana
Baada ya kuusoma huu ujumbe nimepata nguvu mpya, naendelea vyema kwa sasa nitakuwa nanyi kikosi cha mapinduzi pamojaTunakupenda sana pia mkuu Nyagei ubarikiwe sana na Mungu aendelee kukupa uponyaji wa kudumu wa mwili na roho Amen
Alipambana na miambanamuona chicharito kwa mbali
Kisheti jana kazingua kapata kampani yeye akawa anaona aibu kutoa ushirikianoWakuu hope nyote mnaendelea vizuri ,nimewamisi kiukweli ila soon tutakuwa wote nimebahatisha mtandao kidogo hapa ikakubali kuwasha E
My baby Shunie najua u always on my back but nakumis kiukweli ule ukorofi wako na 'kupanic'
Ila nina mashaka na kamati yangu kama wanafanya kazi
Niulizee jamani Baba mchungaji ashajulikana officially make post zote nimeskip japo inanipa wasiwas kwa wabaya wangu kwa shunie
Mr T and sakayo nawamis
Kisheti ,pimbi,mwekagazina na mzee mkavu souudy vip mshapata wenzenu au mnasumbua wake za watu
nina dk 15
Naendelea vyema sasaAfternoon too friend
Unaendeleaje na hali jamani
Naendelea vyema sasaAfternoon too friend
Unaendeleaje na hali jamani
Acha uongo wewe mm sio kama wewKisheti jana kazingua kapata kampani yeye akawa anaona aibu kutoa ushirikiano
Mambo mengine yanaenda poa ila kuna jamaa kapanga kufanya mapinduzi makubwa baada ya kwaresma
Ni hayo tu
Salama kisheti mpendwaHabari za mchana wapendwa
Mungu ni mwema, akupe afya mileleNaendelea vyema sasa
Naendelea vyema naweza kuanza mazoezi sasaAcha uongo wewe mm sio kama wew
Utabaki na hamu zako daima.
.........
Unaendeleaje kwanza
AmenMungu ni mwema, akupe afya milele
Mimi nipo good sana bro.Naendelea vyema naweza kuanza mazoezi sasa
Sio uongo nilikuwa shahidi wakati upo dimbani unafanya yako ili uweze kushinda