Camilo Cienfuegos
JF-Expert Member
- Apr 23, 2015
- 19,226
- 68,242
1935 - Mahmoud Abbas anazaliwa.
Rais wa pili na wa sasa wa Palestina.
Rais wa pili na wa sasa wa Palestina.
Leo katika Historia:
1931 - Shirika la Ndege la Uswizi maarufu kama Swiss Air laanzishwa.
Weeee em tulia bwana, alinipa sikutaka kumpa yangu! Sasa ule utambulisho ndo nikawa nawaza kwann ajitambulishe majina yote mawili kama mama yake bashitekwahiyo limoyo likakudondokeamkamalizanaje nikupe no au alikupa nitamchekesha


akii nilicheeeka1979 - Anwar Sadat wa Misri, Menachem Begin wa Israel na Richard Nixon wa Marekani wanasaini mkataba wa amani kati ya Misri na Israel huko Camp David ( Sehemu ya Mapumziko ya Rais wa Marekani ).
Mkataba huo utakuja kugharimu maisha Anwar Sadat kwani alikuja kuuwawa kwa kushirikiana kwake na Israel.
hahhahahh ili umjue mlikutana wapiWeeee em tulia bwana, alinipa sikutaka kumpa yangu! Sasa ule utambulisho ndo nikawa nawaza kwann ajitambulishe majina yote mawili kama mama yake bashiteakii nilicheeeka
Salamahabari za asubuhi wapendwa katika jina la bwana
Sasa ndo ikawa bahati mbaya mi simjui...mimi naeee sijui nikoje yaani nna ile hata nikimjua mtu sitaki kumrecognize japo huyu kweli simjuagihahhahahh ili umjue mlikutana wapi
1982 - Vietnam Veterans Memorial yafanyika huko Jijini Washington kuwakumbuka wanajeshi wa Marekani waliopoteza maisha katika vita ya Vietnam.
Pia waliwakumbuka wale ambao walipotea katika Uwanja wa Kivita, aidha kwa kushikiliwa mateka au kufariki pasipo kujulikana. ( Missing In Action )
hahahhhah ndio huyoSasa ndo ikawa bahati mbaya mi simjui...mimi naeee sijui nikoje yaani nna ile hata nikimjua mtu sitaki kumrecognize japo huyu kweli simjuagi
Sasa ule utambulisho nkasema kuna namnaa ndo nkaanza kupekenyua
hahahhhah ndio huyo



jamani ingekua enzi zangu ningemdanga1935 - Mahmoud Abbas anazaliwa.
Rais wa pili na wa sasa wa Palestina.