Pole mkuu umeamkaje lakini ?vipi hali yako Mungu kuponye jitahidi uende hospitali .nakuombea mkuu uwe mzima na amani na nguvu AmenHello Kapuku'z
Not feeling well..ngoja nipumzike..
Nawatakia usiku mwema.
Usiwapangie cha kupostMnazungumzia sana mapenz humu daah hadi mnaboa wengine hayapandi hayo mambo
Amina mama mchungaji, Mungu ajibu pia maombi yako na akapate kuonekana kwenye mahitaji yako siku zoteMuwe na jumapili njema yenye baraka tele makapuku, Mungu aonekane kwenu na akajibu maombi yenu ,awape haja ya mioyo yenu siku njema
NzuriiHabarini za asubuhi wapendwa wa mungu Magazeti VP Lee empire hujapata hujapata magazeti leo
Usiwapangie cha kupost
Hakuna mada zinazoanzishwa sasa waongre nini?
Humu kila mtu yupo huru tusileteane Umagufuli
Ukiona kitu hukipendi anzisha mada yako ubadili upepo
Hapa ni chit chat tusipangiane cha kupost
Anzisha mada unayoona inafaa badala ya kulalamika tu
...........






Mimi nadhani hakua serious labdaSamtaimu ulalamishi huleta makwazo na machukizo kwa watu
......
Shikamoo Kipanya...