Makapuku Forum

Makapuku Forum

1944 - Diana Ross anazaliwa.

Mwanamuziki mashuhuri toka nchini Marekani.
4c99bca565cea9474fd65731ee4b48cc.jpg
c6e19298ec4267f72db8fdf5f04db179.jpg
56e7a017559e7427ad8e1d716f39f9bd.jpg
0f79f4c278529f8c0df51205195ff2d6.jpg
Alitikida enzi zake
.....
 
Akuu nikiachika ntaenda wapi na huu ubibi gagula in mange's voice...mwisho nizalishwe tu nbaki kulea mtoto peke yangu ka mushroom

Kuna mpangaji wetu kazalishwa na mchezaji jamani ana maisha maguuumu khaa, yan hao wachezaji huwa wako tee tu nawao
wanachojali n familia zao tu kwingine nahisi wanalingia jina na wakiona mtu unashoboka kwa ajili ya jina lao ndio wanapokuingia nilikua naona enzi hizo BBM acha tu
 
wanachojali n familia zao tu kwingine nahisi wanalingia jina na wakiona mtu unashoboka kwa ajili ya jina lao ndio wanapokuingia nilikua naona enzi hizo BBM acha tu
Yan hata hizo familia zao wasipokua na akili zinapotea tu maana hawana maisha ya uhakika....

Kajisemea mama angu bora upate mwanaume anaefanya kazi serikalini hata pension ipo uzeeni mama angu nae huwa ananiuziii
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom