Lee
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 44,001
- 150,526
Umevurugwa sio bure
ahhhaha ya kwako ipiYa kwakee
Tupo za weeekend Clkey?I love u swt babe, i need u swt babe, nakupenda kwa dhati swt babe,hoyoooooo mpo
Nawatakia weekend njemaaa
Nawapendaje 😉😉😉😉
Sooo sweet jamani....sakayo usimuache T hata kwa utani maaNgoja nikufundishe kitu sakayo wangu.. naweka hapa public ili na wengine wajifunze..
Duniani kuwa watu wanaishi kwa kujadili maisha ya wenzao..
Hao watu wana maneno ya fitina na kukatisha tamaa sana..! Wapo na wala huwezi kujitenga nao katika maisha zaidi ya kutoshiriki maongezi ya tuu.
Wanaongea kwa kumaanisha japo unaweza kukuta ni utani wakati mwingine.
Pamoja na hayp yoote LIFE HAS TO CONTINUE..
sasa ili life liendelee lazima uzibe mwanya wa wewe kusikiliza maneno yao, upuuze wanachoongea, ukichukua kila jambo watakupasua kichwa bure..mwisho utachukua maamuzi mabaya watakuwa wanakucheka tena to the other side now..
So calm down, zoea utani wa makapuku wotee...lee, mondray na wengine wooote..
I love you my princess sakayo..![]()
Nakupenda soulmate..Na ninakupenda kweeli, mpaka najionea wivu. Natamani tuishi kwenye dunia yetu wenyewe tuu asiwepo mtu wa kuyaingilia mapenzi yetu.
T Nakupenda sanaa
nililala sa 6 kasoro jana T wa dadaShunie naona umepona !
Uko online hadi sasa hivi
huyo anao wengiMkuu hivi shemele anaitwaje?
nimemkuta mmu anatongoza tongoza nimechekaMpeleke mmu..
Asante shemela kwa kuliona hilo..Sooo sweet jamani....sakayo usimuache T hata kwa utani maa
Mumie mi nilikua namtania tu T, ila usimskilize leeJust tell me the truth
Mie nilisema ikitokea nikamwacha ntakuwa PadreSooo sweet jamani....sakayo usimuache T hata kwa utani maa
Najua hilo mume wangu kipeuNakupenda soulmate..
Hahahahaaa!nimemkuta mmu anatongoza tongoza nimecheka
Tunakupenda pia uwe na weekend njemaI love u swt babe, i need u swt babe, nakupenda kwa dhati swt babe,hoyoooooo mpo
Nawatakia weekend njemaaa
Nawapendaje 😉😉😉😉
Vipi Shunie wa Leenililala sa 6 kasoro jana T wa dada
Baridaaaa tu chalii yanguTupo za weeekend Clkey?
we soudy nimekushindwa nakuonea huruma utakavyotukanwa mmuHahahah kule mmu![]()
![]()
![]()
![]()
unatongoza tongoza