Ahaaaaah wewee kazi na dawahongera, nilifikiri na ww unatoa mapovu tu
Hahahaha..hulali tu kamanda lee??Ahaaaaah wewee kazi na dawa
Kwa nini unamuwazisha mwenzakoMmmh!
This is not fear!
Asanteehttp://www.todaytvseries.com/tv-series/147-legends
Ukipata muda itafute hii series ni nzuri sana ni ya kiintelejensia
Ukwelii unaumaWewe usiwe unamsikiliza lee..
Kesho anaweza akaamka akanimbia una mme mwingine
Kawaida yake..!
MkuuMambo!
Sawa mafanikio mema ila ukiachika usisahau kurudi ukoko mi uwa natumia![]()
![]()
![]()
![]()

JikazeeeeSasa umeona malikia alivyoniacha soledad juz nikawa namatumaini kabisa
Eti leo namuita shemela.
Nitapata nini akati nishanyanganywa na livi.
Sasa nimechoka kila dem humu namuita shem kama vip nakufa nawewe shunie
Lee asiskie![]()
![]()
![]()
Ya kwakeeaisee ndio tafiti yenu hii wanaume
Niko machooo mkuuHahahaha..hulali tu kamanda lee??