Bitoz
JF-Expert Member
- Aug 27, 2015
- 30,823
- 126,632
1987 - Ramires anazaliwa.
Kiungo wa zamani wa Chelsea na timu ya taifa ya Brazil ambaye kwasasa anakipiga katika ligi ya China.
1987 - Ramires anazaliwa.
Kiungo wa zamani wa Chelsea na timu ya taifa ya Brazil ambaye kwasasa anakipiga katika ligi ya China.
1995 - Enzo Fernandez anazaliwa.
Maarufu kama Enzo Zidane, ni mchezaji wa Real Madrid B, ambaye ni mtoto wa staa wa zamani na kocha wa sasa wa timu hiyo, Zinedine Zidane.
Licha ya kuzaliwa Ufaransa amechukua uraia wa Spain.
Shukrani sana dictatorLeo katika Historia:
Niwatakie siku njema.
2016 - Johan Cruyff anafariki dunia.
Staa wa zamani wa Barcelona, Ajax na timu ya taifa ya Uholanzi.
Ndie mwasisi wa akademi ya La Masia pale Barcelona.
Mmoja wa wagunduzi wa Total Football.
Alikuwepo katika kikosi cha Timu ya Taifa ya Uholanzi kilichofungwa fainali ya Kombe la Dunia 2-1 na mwenyeji Ujerumani.
Wako poa, habari ya asubuhi clkeyMko poa makapuku wenzangu?
Itakua ni uzushi tuHivi undertaker ni kweli ana nguvu za ziada?
Maana kuna mda akikasirika macho yanabadilikabadilikaItakua ni uzushi tu
.....
Habari yangu bwanaaa iko njema kabisaa labda weyeWako poa, habari ya asubuhi clkey
Najikaza tu mkuu, hali sio nzuri sana kivile ila tutatoboa tu kutoka huku ugonjwaniHabari yangu bwanaaa iko njema kabisaa labda weye
Hatuna namna nyingine naamini tutatoboaNajikaza tu mkuu, hali sio nzuri sana kivile ila tutatoboa tu kutoka huku ugonjwani
Alafyuuuuuu weeeeeweeeeMko poa makapuku wenzangu?
Hahahahahahaha halafu mimi nmefanyajeAlafyuuuuuu weeeeeweeee
Uko poa dear??Hahahahahahaha halafu mimi nmefanyaje
Sijambo ila mekumisije aiseeeee shemela wanguUko poa dear??
Mimi sasa nkajuaa umekimbilia koromijeeSijambo ila mekumisije aiseeeee shemela wangu
Huko hata unipe kila kitu siendi ng'ooooooooooooooMimi sasa nkajuaa umekimbilia koromijee
Wewee ata bwashee akisema twende kule uendiiii??Huko hata unipe kila kitu siendi ng'oooooooooooooo
Aende tuWewee ata bwashee akisema twende kule uendiiii??