Lee
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 44,001
- 150,526
Wazima wote mkuu isipokuwa my wife shunie ndo anajihisi kuumwaumwaShukrani...wazma wote humuu
Wazima wote mkuu isipokuwa my wife shunie ndo anajihisi kuumwaumwaShukrani...wazma wote humuu
1951 - Tommy Hilfiger anazaliwa.
Ni mwanamitindo na muasisi wa kampuni ya mavazi ya Tommy Hilfiger.
Rekebisha setting mkuuJamani msaada tafadhari...
Natumia Browser
Picha zinazopostiwa humu sizioni.
Magazeti sijayaona nimeona maneno tu.
Picha anazoweka bitoz sizioni naona Qoute tu
1965 - The Undertaker anazaliwa.
Ni mwanamieleka kutoka nchini Marekani.
Ana uzito wa Kilo 140, mmoja kati ya wanamieleka maarufu zaidi.
Asante mkuu, nawe piaLeo katika Historia:
Niwatakie siku njema.
Asantee mkuuLeo katika Historia:
Niwatakie siku njema.
Atapona usitie shakaWazima wote mkuu isipokuwa my wife shunie ndo anajihisi kuumwaumwa
Hivi undertaker ni kweli ana nguvu za ziada?
AminaaaaAtapona usitie shaka
Nawe pia diktetaLeo katika Historia:
Niwatakie siku njema.
1972 - Christophe Dugarry anazaliwa.
Straika wa zamani wa Milan, Merseille, Barcelona, Birmingham City na timu ya taifa ya Ufaransa.
Alikuwepo kwenye kizazi cha Dhahabu kilichotwaa Kombe la Dunia mwaka 1998 katika ardhi ya nyumbani kisha miaka miwili baadae ubingwa wa Euro 2000.
Love you moreBaby..
Baby
Uwe na siku njema! I love you mwanamke wa maisha yangu
Ahsante mkuuPole dictator kwa kunusurika kupinduliwa
Mnakodoa kodoKumbeee
Morning mkuuMonring family
Morning makapuku wotee!
1984 - Benoit Assou Ekotto anazaliwa.
Beki wa kushoto wa zamani wa klabu ya Tottenham Hotspur na timu ya taifa ya Cameroun.
Pamoja na soka kuwa ndio kazi yake, huwa hana muda wa kufatilia soka na badala yake anapenda sana muziki.