Makapuku Forum

Makapuku Forum

Leo katika Historia:

1944 - Ardeatine Massacre: Jeshi la Nazi la Ujerumani lafanya Mauaji ya raia 335 wa Italy huko jijini Rome.

Hiyo ni baada ya Dikteta Mussolini kufanyiwa jaribio la kupinduliwa, hivyo Hitler akatuma kikosi chake kwenda kumsaidia swahiba wake.
43d0aea8a6605c2e8e768078a863a4ae.jpg
edd9edb99343b5d89c4e160d4038b8f9.jpg
6810fc8aab82b49c6b59ca090ea898b1.jpg
e941d35b1c28c8d13893baa97c1df714.jpg
 
1972 - Christophe Dugarry anazaliwa.

Straika wa zamani wa Milan, Merseille, Barcelona, Birmingham City na timu ya taifa ya Ufaransa.

Alikuwepo kwenye kizazi cha Dhahabu kilichotwaa Kombe la Dunia mwaka 1998 katika ardhi ya nyumbani kisha miaka miwili baadae ubingwa wa Euro 2000.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom