Makapuku Forum

Makapuku Forum

Mababu zetu wipigania uhuru kutoka kwa wakoloni wa kizungu na kiarabu...
Wajukuu zao tumeshindwa kupigania uhuru kutoka kwa Wasukuma wawili

......
Back off Amigo. Wasukuma wawili my foot. Mlaumuni Kikwete na uzembe wenu wa ku-focus na mambo ya muhimu. Umbea tu na hakuna kukazania mambo yanayohusu uhai wa taifa. Wakati ule mngegangamara mngepata katiba mpya ambayo ingepunguza madaraka ya rais na kuweka mambo mengi tu sawa. Badala yake Mkwere akawachekea weeee katiba ile nzuri kabisa hata haijulikani iko wapi. Wakati huo huo ameruhusu uhuru wa habari lakini anapitisha sheria ya makosa ya mtandao. Mambo mawili haya yangepingwa kwa nguvu zote pengine leo hii tungekuwa kivingine sana na naamini uchaguzi uliopita ungefanyika katika tume huru ya uchaguzi na mazingira tofauti kabisa ya kisiasa.

Panua wigo wako wa kutazama mambo na uki-focus kwenye kabila hutafika popote. Katiba ile mpya inahitajika sana na hili ndo liwe ajenda kubwa ya kila mtu otherwise hata aje malaika kutawala sidhani kama kutakuwa na mabadiliko ya maana katika mfumo wetu wa kiutawala.
 
Back off Amigo. Wasukuma wawili my foot. Mlaumuni Kikwete na uzembe wenu wa ku-focus na mambo ya muhimu. Umbea tu na hakuna kukazania mambo yanayohusu uhai wa taifa. Wakati ule mngegangamara mngepata katiba mpya ambayo ingepunguza madaraka ya rais na kuweka mambo mengi tu sawa. Badala yake Mkwere akawachekea weeee katiba ile nzuri kabisa hata haijulikani iko wapi. Wakati huo huo ameruhusu uhuru wa habari lakini anapitisha sheria ya makosa ya mtandao. Mambo mawili haya yangepingwa kwa nguvu zote pengine leo hii tungekuwa kivingine sana na naamini uchaguzi uliopita ungefanyika katika tume huru ya uchaguzi na mazingira tofauti kabisa ya kisiasa.

Panua wigo wako wa kutazama mambo na uki-focus kwenye kabila hutafika popote. Katiba ile mpya inahitajika sana na hili ndo liwe ajenda kubwa ya kila mtu otherwise hata aje malaika kutawala sidhani kama kutakuwa na mabadiliko ya maana katika mfumo wetu wa kiutawala.
Pole mkuu
 
46b2b88d82d5989516b0cf3d59cbac32.jpg

Mi alinipa tu hata. Kuapa sikuapa
.....
Hahahaha siasa ngumu
 
Habari zenu Makapuku?

Kwa uwezo wa Mungu naamini nyote much wazima kabisa, binafsi bado siko 100% kiafya Jan kichwa leo mafua tight hatari.

Nafurahi kuona bado mnakimbiza chit chat hongereni sana
Pole mkuu sisi Mungu anatupigania tupo salama changamoto hazikosekani lakini Mungu ni mwaminifu siku haigandi ,inaisha...umeenda hospitali fluu ya sasa si nzuri ni muhimu uitibu seriously watu wengi wanaumwa mpaka kulazwa kwa mafua ..Mungu akusaidie uwe mzima ubarikiwe
 
Back off Amigo. Wasukuma wawili my foot. Mlaumuni Kikwete na uzembe wenu wa ku-focus na mambo ya muhimu. Umbea tu na hakuna kukazania mambo yanayohusu uhai wa taifa. Wakati ule mngegangamara mngepata katiba mpya ambayo ingepunguza madaraka ya rais na kuweka mambo mengi tu sawa. Badala yake Mkwere akawachekea weeee katiba ile nzuri kabisa hata haijulikani iko wapi. Wakati huo huo ameruhusu uhuru wa habari lakini anapitisha sheria ya makosa ya mtandao. Mambo mawili haya yangepingwa kwa nguvu zote pengine leo hii tungekuwa kivingine sana na naamini uchaguzi uliopita ungefanyika katika tume huru ya uchaguzi na mazingira tofauti kabisa ya kisiasa.

Panua wigo wako wa kutazama mambo na uki-focus kwenye kabila hutafika popote. Katiba ile mpya inahitajika sana na hili ndo liwe ajenda kubwa ya kila mtu otherwise hata aje malaika kutawala sidhani kama kutakuwa na mabadiliko ya maana katika mfumo wetu wa kiutawala.
Eye opener thanks
 
Pole mkuu sisi Mungu anatupigania tupo salama changamoto hazikosekani lakini Mungu ni mwaminifu siku haigandi ,inaisha...umeenda hospitali fluu ya sasa si nzuri ni muhimu uitibu seriously watu wengu wanaumwa mpaka kulazwa kwa mafua ..Mungu akusaidie uwe mzima ubarikiwe
Yes nilikwenda nimepatiwa Cetrizine na antibiotics
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom