Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,054
- 463,971
Dada ata sijielewi naumwa umwa nimekuja kumsalimia baby mara moja nimemmiss tuShem mdogo wangu anaendeleaje jamani
vipi hali yako unaendeleaje
Dada ata sijielewi naumwa umwa nimekuja kumsalimia baby mara moja nimemmiss tuShem mdogo wangu anaendeleaje jamani
pole sanaHabari zenu Makapuku?
Kwa uwezo wa Mungu naamini nyote much wazima kabisa, binafsi bado siko 100% kiafya Jan kichwa leo mafua tight hatari.
Nafurahi kuona bado mnakimbiza chit chat hongereni sana
Amen ubarikiwe ahadi za Mungu ni kweli na hakika ,hawezi kutuacha kamwe...Tafakari ya usiku
![]()
Nawatakieni usiku mwema watoto wa Mungu, malaika wakawalindeni dhidi ya mwovu shetani....... Amen.
Emmyta I miss you

nawe pia mkuuTafakari ya usiku
![]()
Nawatakieni usiku mwema watoto wa Mungu, malaika wakawalindeni dhidi ya mwovu shetani....... Amen.
Emmyta I miss you
Thats good Mungu akupe uponyaji ..pole sanaYes nilikwenda nimepatiwa Cetrizine na antibiotics
Pole Shunie Mungu akutie nguvu.Dada ata sijielewi naumwa umwa nimekuja kumsalimia baby mara moja nimemmiss tu
vipi hali yako unaendeleaje
Atakua anamuuguza mkuunawe pia mkuu
pole kwa kuumwa
mchuchu wako sijaona hata vumbi lake leo
AmenAmen ubarikiwe ahadi za Mungu ni kweli na hakika ,hawezi kutuacha kamwe...![]()
Ahsante mkuunawe pia mkuu
pole kwa kuumwa
mchuchu wako sijaona hata vumbi lake leo
Ahsante mama mchungajiThats good Mungu akupe uponyaji ..pole sana
mbona anadai amemmissAtakua anamuuguza mkuu
sante shemelaAhsante shem.
Nawe pia pole
Ameen mama mchungajiPole Shunie Mungu akutie nguvu.
tuko pamojaAhsante mkuu
Atakuwa nae katingwa pia
Pole ya nini mkuu? Kama una hoja ya kukinza hoja yangu hapo juu itoe tu mkuu. Binafsi huwa sipendi generalizations. Eti kwa vile umekutana na mwanamke mmoja akakufanyia vituko basi unalaumu wanawake wote. Mchaga mjanja amekuingiza mjini sasa inakuwa Wachaga wote matapeli. Hoja za aina hii mara nyingi ni myopic na zinaonyesha ukosefu wa umakinifu mkubwa na ukiangalia vizuri ni ukwepaji wa kuliangalia tatizo katika kiini chake. Ni hayo tu mkuu.Pole mkuu
Jamaniiii mdogo wangu, pole mnoo.Dada ata sijielewi naumwa umwa nimekuja kumsalimia baby mara moja nimemmiss tu
vipi hali yako unaendeleaje
Asante mkuuHongera kwa 148k
mm pacha wangu ni leeSnipes & Shunie majina yenu yananichanganyaa
Au ninyi ni mapacha