Queen Kan
JF-Expert Member
- Dec 26, 2012
- 5,302
- 9,097
Haha, tatizo hasikii.....ndio mana nimemwambia sipendi hizi mambo hanielewi seriously sipendi
Haha, tatizo hasikii.....ndio mana nimemwambia sipendi hizi mambo hanielewi seriously sipendi
acha ajifanye kiziwi anachokitafuta atakipataHaha, tatizo hasikii.....
malkia kwahiyo kesho unafanya chaguo unapiga ana ana doDooh! Kesho wote watatu muamke na akili hizi ili nichague
haahhhahhaha
Hahahaha...mtongodhoMimi ni pure man sidanganyi ukweli ni kwamba naomba tuwe couple kama lee na chimamy wake![]()
![]()
![]()
Ee nataka nimuone ataefight hadi mwishomalkia kwahiyo kesho unafanya chaguo unapiga ana ana do
Procedure izo dude step by stepHahahaha...mtongodho
hapo sawa nitakusaidiaEe nataka nimuone ataefight hadi mwisho
EeKwani tupo watatu![]()
![]()
Yaani huku Makapuku kuna uhaba mkubwa wa mabinti. Imagine kuna Queen Kan, Shunie na mwingine sijui nani. Na karibu wote wanadai wana watu wao. Sasa sisi makapuku wengine tufanyeje? Ndiyo maana huko nyuma niliwahi kushauri tujaribu hata POLYANDRY liwalo na liwe...Kwani tupo watatu![]()
![]()
Acha roho mbaya queenBora kuwa single tu
Sikuelewiaiseeee
Hahaha, kweli we ni shedeAta mimi nipo nipo tu kibachera bachera tuwe caople tu![]()
![]()
![]()
Tulio single tunahaha kutafuta. Wengine waliopata wanatamani kuwa single ali mradi vurugu tupu.Bora kuwa single tu
Basi mtemekhaaa nimsaidie nn kukujibia au
si muende mmu mkatafute wenu muwalete huku kapukuYaani huku Makapuku kuna uhaba mkubwa wa mabinti. Imagine kuna Queen Kan, Shunie na mwingine sijui nani. Na karibu wote wanadai wana watu wao. Sasa sisi makapuku wengine tufanyeje? Ndiyo maana huko nyuma nikashauri tujaribu hapa POLYANDRY liwalo na liwe...
utanielewa tu kesho queen anafanya mchujo mpo wa3 kwahiyo jitahidi tuSikuelewi
Hahaha, macho yenye vijikopa vyekunduMmmh![]()
nimteme nanBasi mteme