Sakayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 56,368
- 161,463
JamaniiiiBarida mkuu!
I am a person with pure heart! I use to speak my feelings..
Twende mume wangu, huku mpaka kesho jamani, nakumiss ujue
JamaniiiiBarida mkuu!
I am a person with pure heart! I use to speak my feelings..
Barid sana mkuuBarida mkuu!
I am a person with pure heart! I use to speak my feelings..
Poa![]()
mambo
Kuna manzi moto nimemzimikia ile mbaya niko tayari kumpeleka hata Koromije kabisa. Bahati mbaya (au pengine nzuri) kuna njemba imemkamata na inamchunga balaa. Sijakata tamaa na nipo nimegangamara mpaka kieleweke.Aiiiseeh shimba nimekupata kwaiyo wewe huu mwezi wa pili ujapata manzi?
Role model wako ni madenge hapo![]()
Bush Stars
...
Aiiiseeh shimba nimekupata kwaiyo wewe huu mwezi wa pili ujapata manzi?

Hahahaaaa nitakuwa nakuja kwenye huu uzi kunavitu vizuri kwaajili ya kuongeza maarifaa.Uwe unatutembeleaa
Kuna manzi moto nimemzimikia ile mbaya niko tayari kumpeleka hata Koromije kabisa. Bahati mbaya (au pengine nzuri) kuna njemba imemkamata na inamchunga balaa. Sijakata tamaa na nipo nimegangamara mpaka kieleweke.
Statistically tunaambiwa eti wanawake ni wengi kuliko sisi madume ila hapa JF na hasa huku kwa makapuku, mamanzi ni wachache sana ndo maana inabidi tugombanie tu kwa sababu hakuna namna!
wanawake ni wengi sana mkuu shimba ilitakiwa wao ndo watugombanie sisi mi nakaa pembeni adi nifatwe mkuu
Ooh mrembo unasauti nzur wewe
Kwelii kabisaWalimfuga sana huyo Mbwiga acha wavune walichopanda
U too mkuuGoodnight fellaz![]()
![]()
![]()
![]()
Umechoka mkuu??Guyz usiku mwema
Mkuu hapana sijachoka nipo ngangariUmechoka mkuu??
Tukeshee wote utawezaaUsiku mwema mnaolala.....sisi tuko macho mida ya wanga