Sakayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 56,368
- 161,463
SawaHatujirushi tena...!
Tuishi tuu...life is short.
SawaHatujirushi tena...!
Tuishi tuu...life is short.
Wadogo zako wameenda wapi?Kashambatizaa baby ...babu
Ngoja kamati ije
hahahahh naona kidogo nakua na roho kama yakeMpaka kakuambukiza na wewe
Heeehatutaki ujinga![]()
Moja tuu...! Usinywe nyingi hizi..Nakunywaga redbull
Sipatii picha alivokuwa amebana tako akiwakimbiaasiwezi kuelezea baby ila nitaeleza kwa ufupi kamati ilienda ofisini kwa mkuu wa mkoa wakaambiwa ana mgeni alivyotoka wakaambiwa waende kufika mkuu wa mkoa kawakimbia kwa mlango wa nyuma
Mfanyakazi wa mkuu wa mkoa akawaambia wamsubili atakuja wakakaa badae akawaambia tena hawezi kufika wakaondoka kuandika tume yao nimechoka baby atamalizia mwingine aliyesikia
Tunaruka na parachutejirusheni jamaan nije kuwaona tu mkiruka![]()
sio mm shemela atakua lee ndio kaandikaHhaaaa![]()

Toka ya kwanza!Wapi huko jamani hubby
hahahah wazee wa fursaWadogo zako wameenda wapi?
Sio kidogo, ndo zishafanana hivyohahahahh naona kidogo nakua na roho kama yake
Humu wanaishi Great thinkers too..sema hapa utani mwingisio kosa lake kosa ni ugen halaf anajua humu kama fb kwao
Hahaha Shunie...unanipa raha sanababy wako yupo humu
Ahaaaaaaaah janaa mbona husemi nilivokutumia ya biaNajua ulivyo mchoyo, tangu siku ya kwanza kuja huku kusalimia ulininyima
Mimi sina tatizo naye..!Naomba uachane nae laazizi wa mie
Mimi na www nani mchoyohahahhahah halaf sijui uchoyo kajifunza wapi
hivi nani anakufundisha haya maneno lknSipatii picha alivokuwa amebana tako akiwakimbiaa
HahahaMoja tuu...! Usinywe nyingi hizi..
Tukijirusha wawili watu hawataumia wala..jirusheni jamaan nije kuwaona tu mkiruka![]()