Makapuku Forum

Makapuku Forum

Ha hahhahhahah, hili tu halina shaka, aunt hata kabla hajauliza namwambia kabisa tena namuonyesha na barua ya kukuomba unisindikize, halafu kila mtu anaendelea kujikongoroa anavyoweza.
BTW, aunt kapendeza na kaphotoshop kapya Shunie
Binamu nakuamini sana halaf naona kama sikuelewi mana kila siku naagwa na lee anakuja kwako

santee kwa kunisifia
 
Ilaaaa sasa bhinamu usiwe mpenda kuongea ukweli make akikurushia ya vodka unaniangamiza

Kapendeza ila na uzuri unachangia plus gharama
baby hamna leo kutoka na was was na hzi safari zako kweli tena
 
  • Thanks
Reactions: Lee
pole lulu kwa kuachana na bae wako kama kweli ulimroga kama wanavyosema au watu tu waliamua kuwaachanisha Mungu ndio anaejua ukweli

mlivyokua mnapendana aisee pole sana upo kwenye kipindi kigumu sana mpk umpate mwingine umzoee si leo
Nilijuaaaa utamteteaa


Naomba uku uingie badaee
 



Mwambie hivi
c9ce0a9c1c813fd0a75869f860b6e9e4.jpg
ww ndio ray van boy au
 
  • Thanks
Reactions: Lee

Similar Discussions

Back
Top Bottom