Lee
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 44,001
- 150,526
Nshaongea sanaHebu Mwambiee mwaya shemeji
Nshaongea sanaHebu Mwambiee mwaya shemeji
Binamu nakuamini sana halaf naona kama sikuelewi mana kila siku naagwa na lee anakuja kwakoHa hahhahhahah, hili tu halina shaka, aunt hata kabla hajauliza namwambia kabisa tena namuonyesha na barua ya kukuomba unisindikize, halafu kila mtu anaendelea kujikongoroa anavyoweza.
BTW, aunt kapendeza na kaphotoshop kapya Shunie
Msikilize lee ila changanya na kwako...
Keep it up...! Keeping firing
Best fighter do not only wound their enemies..! Better burry them..

Shunie umesikilza ushauri wa Sakayo umebadili avatar , great.
Sio mbaya ukajiburdisha na Nico Zengekala kama nilivyoelekezwa na mjomba lee empire
Kakosea wapUnakosea sana! ....
Usijalii ila sms deriveredNaomba unisamehe mno, sikuwa na nia ya kukuudhi.
Nimepita tuu kuwasalimia, sorry again
Naomba unisamehe mno, sikuwa na nia ya kukuudhi.
Nimepita tuu kuwasalimia, sorry again
baby hamna leo kutoka na was was na hzi safari zako kweli tenaIlaaaa sasa bhinamu usiwe mpenda kuongea ukweli make akikurushia ya vodka unaniangamiza
Kapendeza ila na uzuri unachangia plus gharama
Nilijuaaaa utamteteaapole lulu kwa kuachana na bae wako kama kweli ulimroga kama wanavyosema au watu tu waliamua kuwaachanisha Mungu ndio anaejua ukweli
mlivyokua mnapendana aisee pole sana upo kwenye kipindi kigumu sana mpk umpate mwingine umzoee si leo

Sure, si ajabu una suruali mbili jeans nyeusi na denglisi ya blue tangu mwaka mpya, unajibana aunt apendeze
Ukweli unaumaaa...
Ila uzuri natupiaga jinz zako samuuutaaimuz
baby umeshayashinda mbonaIla nikishinda majaribu ya shunie ntaimba utukufu
Walaakapromise kapi hako
watashindana binamu lkn hawatashinda lee ndio kila kituutani kando mjomba, una majribu kwa aunt yaani hata Bahati Bukuku haoni ndani, yaani ukianzia kwa kina SHIMBA YA BUYENZE ,Transcend , Mondray, Ray van Boy , werrason , e2n list ni ndefu sana.
Ukiyashinda nitamuomba BH aongeze na mapambio
Baba mchungaji n binamu sasa hiviBhinamu tena jitahid BH tumpate
Mm mpaka mpeleka posa mkongo ashanizunguka ,danjaboy yumo ,usser yumo ,nyangei nk
hope baby ameshakujibu nilivyoamkaWakuu za asubuhi humu,shunie umeamkaje my dear
mukongo na ww ni mchungaji una kanisa teh tualike na sisi tuje kusaliLeo saa tisa alasiri kanisani kwetu
AnafukuziaaBaba mchungaji n binamu sasa hivi
Wabaya wamesikiawatashindana binamu lkn hawatashinda lee ndio kila kitu
Shkamoomukongo na ww ni mchungaji una kanisa teh tualike na sisi tuje kusali
Mmh dear tenaAhaaaaaaaaaah
Kumbe ndo maana anatapatapa
Bhasi sikuiiti tena shemeji ..ntakuita dear
yangu macho tu pm njemaHahahaha kumbe kuzunguka koteee wataka zima taa
![]()
![]()
![]()
![]()
Ebu njoo pm kwanza
ww ndio ray van boy au![]()
![]()
![]()
![]()
Mwambie hivi![]()
