Makapuku Forum

Makapuku Forum

Udaku...
c2506ffe1b081980964c32b6415263c1.jpg
5f1411409d9f3150dc01f60573c67da0.jpg
a214161b0e303a5608bada172dfaa110.jpg
b2529fe99307021e1c400d30cf74ed6e.jpg
pole lulu kwa kuachana na bae wako kama kweli ulimroga kama wanavyosema au watu tu waliamua kuwaachanisha Mungu ndio anaejua ukweli

mlivyokua mnapendana aisee pole sana upo kwenye kipindi kigumu sana mpk umpate mwingine umzoee si leo
 
hapana mjomba, sijaviamkia, sema vyenyewe ndo vimeamka na mimi baada ya kusikia tangazo la serikali na vinajua kabisa mpwao ni mlipa kodi maarufu.

BTW, ukiulizwa hiyo chupa ni ya nini na BH tafadhari sema ni tiba ya kipandauso, nisije nikakosa mambo mazuri na uabrikio
hivi baba mchungaji n nani haswa

Kwa hilo tu usijali ntamwambia kabisa mbona yule tunamvuta gheto soon ..muhimu kirikuu chetu kijae mafuta tukienda kumpokea


Alafu bhinamu ukiulizwa na aunt yako mwambie Leo nakusindikiza ...kale kapromis ni leo
 
  • Thanks
Reactions: Lee

Similar Discussions

Back
Top Bottom