Makapuku Forum

Makapuku Forum

lee empire asante kwa magazeti mjomba

Hakyanani nitasoma baadaye maana saa hizi kuna huyu muungwana namalizia kesi yake
Gordons-Vodka.png
Nilijuaaaaaa bhinamu
 
hapana mjomba, sijaviamkia, sema vyenyewe ndo vimeamka na mimi baada ya kusikia tangazo la serikali na vinajua kabisa mpwao ni mlipa kodi maarufu.

BTW, ukiulizwa hiyo chupa ni ya nini na BH tafadhari sema ni tiba ya kipandauso, nisije nikakosa mambo mazuri na uabrikio
Kwa hilo tu usijali ntamwambia kabisa mbona yule tunamvuta gheto soon ..muhimu kirikuu chetu kijae mafuta tukienda kumpokea


Alafu bhinamu ukiulizwa na aunt yako mwambie Leo nakusindikiza ...kale kapromis ni leo
 
Kwa hilo tu usijali ntamwambia kabisa mbona yule tunamvuta gheto soon ..muhimu kirikuu chetu kijae mafuta tukienda kumpokea


Alafu bhinamu ukiulizwa na aunt yako mwambie Leo nakusindikiza ...kale kapromis ni leo

Ha hahhahhahah, hili tu halina shaka, aunt hata kabla hajauliza namwambia kabisa tena namuonyesha na barua ya kukuomba unisindikize, halafu kila mtu anaendelea kujikongoroa anavyoweza.
BTW, aunt kapendeza na kaphotoshop kapya Shunie
 
Ha hahhahhahah, hili tu halina shaka, aunt hata kabla hajauliza namwambia kabisa tena namuonyesha na barua ya kukuomba unisindikize, halafu kila mtu anaendelea kujikongoroa anavyoweza.
BTW, aunt kapendeza na kaphotoshop kapya Shunie
Ilaaaa sasa bhinamu usiwe mpenda kuongea ukweli make akikurushia ya vodka unaniangamiza

Kapendeza ila na uzuri unachangia plus gharama
 
utani kando mjomba, una majribu kwa aunt yaani hata Bahati Bukuku haoni ndani, yaani ukianzia kwa kina SHIMBA YA BUYENZE ,Transcend , Mondray, Ray van Boy , werrason , e2n list ni ndefu sana.
Ukiyashinda nitamuomba BH aongeze na mapambio
Bhinamu tena jitahid BH tumpate

Mm mpaka mpeleka posa mkongo ashanizunguka ,danjaboy yumo ,usser yumo ,nyangei nk
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom