Obe
Platinum Member
- Dec 31, 2007
- 10,282
- 35,645
Morning the big family
Morning kapuku
Morning the big family
....mbali sana wapi mdau? isije ikawa hapa na mtwara mjini/shangani/mikindani ukasema mbali kumbe ni karibu tu
bhinamu vile viroba umeviamkia
Nilijuaaaaaa bhinamulee empire asante kwa magazeti mjomba
Hakyanani nitasoma baadaye maana saa hizi kuna huyu muungwana namalizia kesi yake
![]()
Morning kapuku mpenda churaMorning the big family
![]()
![]()
![]()
![]()
bhinamu vile viroba umeviamkia
Kwa hilo tu usijali ntamwambia kabisa mbona yule tunamvuta gheto soon ..muhimu kirikuu chetu kijae mafuta tukienda kumpokeahapana mjomba, sijaviamkia, sema vyenyewe ndo vimeamka na mimi baada ya kusikia tangazo la serikali na vinajua kabisa mpwao ni mlipa kodi maarufu.
BTW, ukiulizwa hiyo chupa ni ya nini na BH tafadhari sema ni tiba ya kipandauso, nisije nikakosa mambo mazuri na uabrikio
Kwa hilo tu usijali ntamwambia kabisa mbona yule tunamvuta gheto soon ..muhimu kirikuu chetu kijae mafuta tukienda kumpokea
Alafu bhinamu ukiulizwa na aunt yako mwambie Leo nakusindikiza ...kale kapromis ni leo
Ilaaaa sasa bhinamu usiwe mpenda kuongea ukweli make akikurushia ya vodka unaniangamizaHa hahhahhahah, hili tu halina shaka, aunt hata kabla hajauliza namwambia kabisa tena namuonyesha na barua ya kukuomba unisindikize, halafu kila mtu anaendelea kujikongoroa anavyoweza.
BTW, aunt kapendeza na kaphotoshop kapya Shunie
Ilaaaa sasa bhinamu usiwe mpenda kuongea ukweli make akikurushia ya vodka unaniangamiza
Kapendeza ila na uzuri unachangia plus gharama
Sure, si ajabu una suruali mbili jeans nyeusi na denglisi ya blue tangu mwaka mpya, unajibana aunt apendeze
Shunie umesikilza ushauri wa Sakayo umebadili avatar , great.
Sio mbaya ukajiburdisha na Nico Zengekala kama nilivyoelekezwa na mjomba lee empire
utani kando mjomba, una majribu kwa aunt yaani hata Bahati Bukuku haoni ndani, yaani ukianzia kwa kina SHIMBA YA BUYENZE ,Transcend , Mondray, Ray van Boy , werrason , e2n list ni ndefu sana.Ila nikishinda majaribu ya shunie ntaimba utukufu
Bhinamu tena jitahid BH tumpateutani kando mjomba, una majribu kwa aunt yaani hata Bahati Bukuku haoni ndani, yaani ukianzia kwa kina SHIMBA YA BUYENZE ,Transcend , Mondray, Ray van Boy , werrason , e2n list ni ndefu sana.
Ukiyashinda nitamuomba BH aongeze na mapambio
Wakuu za asubuhi humu,shunie umeamkaje my dear
Umejionea mwenyewe
Nini mkuu?Umejionea mwenyewe