Makapuku Forum

Makapuku Forum

Hakuna watu wabaya kwenye kulipa kisasi kama Israel. Huwa wanadili kuanzia yule aliyepanga tukio mpaka alitekeleza. Haachwi mtu. Rejea sakata la kikundi cha Balck September dhidi ya mauaji ya wanamichezo wa Israel katika michezo ya olimpiki ya mwaka 1974 pale jijini Munich nchini Ujerumani.
Naomba msaada wako niweze kuipata hiyo historia le dictator
 
Jana mwanangu Kogi aliniuliza swali la kizushi, Eti baba ukichanganya OMO na FOMA unaweza kupata povu? Nikamjibu, Lazima upate kwa kuwa zote ni sabuni za unga. Kisha nikamwambia, Siku nyingine usiwe unauliza maswali ya kipumbavu. Akaniambia majibu yako ndio ya kipumbavu. Utapataje povu bila kuweka na maji?

Tangu jana bado najiuliza nimekosaje swali kizembe? Sasa namtafutia sababu afanye kosa dogo tu nimchape bakora za maana kwa kunivunjia heshima.
 
Jana mwanangu Kogi aliniuliza swali la kizushi, Eti baba ukichanganya OMO na FOMA unaweza kupata povu? Nikamjibu, Lazima upate kwa kuwa zote ni sabuni za unga. Kisha nikamwambia, Siku nyingine usiwe unauliza maswali ya kipumbavu. Akaniambia majibu yako ndio ya kipumbavu. Utapataje povu bila kuweka na maji?

Tangu jana bado najiuliza nimekosaje swali kizembe? Sasa namtafutia sababu afanye kosa dogo tu nimchape bakora za maana kwa kunivunjia heshima.
 
Good morning family ...
785c09f482e3f4bc7fb5d47c266d4ed7.jpg
22110c63c4fb7904e9217b8ada37094f.jpg
4930b8981d92f6da8af11a29bbd44c24.jpg
35b4bf7b92a5e211ff532c267b642255.jpg
52541955b01ed82f4d7c7847440c1655.jpg
 
Jana mwanangu Kogi aliniuliza swali la kizushi, Eti baba ukichanganya OMO na FOMA unaweza kupata povu? Nikamjibu, Lazima upate kwa kuwa zote ni sabuni za unga. Kisha nikamwambia, Siku nyingine usiwe unauliza maswali ya kipumbavu. Akaniambia majibu yako ndio ya kipumbavu. Utapataje povu bila kuweka na maji?

Tangu jana bado najiuliza nimekosaje swali kizembe? Sasa namtafutia sababu afanye kosa dogo tu nimchape bakora za maana kwa kunivunjia heshima.
kaka umetisha sana umenikumbusha mbali sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom