Wangapi wanataka Chaplin arudi?Morning Charlie Chaplin, mbona umeitoa tena ile avatar???
Vizuri, ulete je wajua sasaKweli uliniahidi twisheni ya lazima. Hangeova za usingizi hizo jooh. baithewei Niko poa kamanda
Hii ya Tii Eli Sii ni balaa![]()
Cartoon of the day
......
Ule mji ni mgumu sanaNaona Leicester wamepewa vijana wa msela Diego Simeone
Mleteee bhanaaaWangapi wanataka Chaplin arudi?
Uko sawa mkuu, majina huwa yanaakisi na matendo ya mtu pia. Ushauri mzuri.![]()
![]()
![]()
Golda = gold
Jina lake tu ni dhahabu...tuwape watoto majina yenye maana samtaimu yanaleta ngekewa sio mwanao unamwita Bashite au Pombe ataleta kasheshe ukubwani
......
Kikundi hatari cha Hezbollah![]()
Wahusika?![]()
....
Ni kweli maana kuna kipindi alisusa kuchezea timu ya taifa, walimpigia magoti.![]()
![]()
![]()
![]()
Kwa Wasauzi ni sawa na Messi
....
Hakuna watu wabaya kwenye kulipa kisasi kama Israel. Huwa wanadili kuanzia yule aliyepanga tukio mpaka alitekeleza. Haachwi mtu. Rejea sakata la kikundi cha Balck September dhidi ya mauaji ya wanamichezo wa Israel katika michezo ya olimpiki ya mwaka 1974 pale jijini Munich nchini Ujerumani.Wahusika walipatikana?
Pamoja sana mkuu.Asante kaka mkubwa
Kocha Mchezaji a.k.a. Pogba wa Chattle a.k.a Sizonje
Mwanao unamwita Tabu unategemea niniUko sawa mkuu, majina huwa yanaakisi na matendo ya mtu pia. Ushauri mzuri.
Sijui wanaanzia wapi!Ule mji ni mgumu sana
Wangapi wanataka Chaplin arudi?

Bila shaka yupo kwenye payroll ya BashiteLe Mutuz ni girlfriend wa Bashite?
kila kombora la Mange yy ndo anahangaika kupangua
.....
Inashangaza dingi la 50's linjahangaika kutetea katoto ka juziBila shaka yupo kwenye payroll ya Bashite