Makapuku Forum

Makapuku Forum

tapatalk_1487435504664.jpeg
 
Wahusika walipatikana?
Hakuna watu wabaya kwenye kulipa kisasi kama Israel. Huwa wanadili kuanzia yule aliyepanga tukio mpaka alitekeleza. Haachwi mtu. Rejea sakata la kikundi cha Balck September dhidi ya mauaji ya wanamichezo wa Israel katika michezo ya olimpiki ya mwaka 1974 pale jijini Munich nchini Ujerumani.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom