Bitoz
JF-Expert Member
- Aug 27, 2015
- 30,823
- 126,632
1982 - Steven Pienaar anazaliwa.
Ni mwanasoka wa Afrika Kusini ambaye amecheza katika klabu za Ajax, Everton Fc, Tottenham Hotspurs, Sunderland.
Kwa Wasauzi ni sawa na Messi
....
1982 - Steven Pienaar anazaliwa.
Ni mwanasoka wa Afrika Kusini ambaye amecheza katika klabu za Ajax, Everton Fc, Tottenham Hotspurs, Sunderland.
Shukrani le dictatorLEO KATIKA HISTORIA:
Niwatakie wikendi njema.
1973 - Raul Meireles anazaliwa.
Kiungo wa zamani wa Porto, Liverpool, Chelsea na timu ya taifa ya Ureno.
1986 - Edin Dzeko anazaliwa.
Nyota wa zamani wa Man City anayekipiga As Roma kwa sasa.
1989 - Shinji Kagawa anazaliwa.
Kiungo mshambuliaji wa zamani wa Man Utd ambaye anakipiga Borussia Dortmund kwasasa.
Pia huchezea timu ya taifa ya Japan.
1988 - Fraser Forster anazaliwa.
Ni golikipa wa zamani wa Celtic ambaye anakipiga katika klabu ya Southampton na timu ya taifa ya England.
1997 - Katie Ledecky anazaliwa.
Ni muogeleaji kutoka nchini Marekani.
Mshindi wa medali za dhahabu katika mashindano kadhaa ya Olimpiki.
2016 - Meir Dagan anafariki dunia.
Jenerali wa zamani katika Jeshi la Ulinzi la Israel.
Pia alikuwa Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Ujasusi nchini humo la Mossad.
Morning Shuniemorning mukongo

Je, wakimweka ndani akakosa kushiriki uchaguzi si ndio urais utakuwa kaukosa???Sema wanamuongezeaa umaarufu
Af wewe!Kwanza ilo pozi lenyewe weka mbali na mushenga
Yuko wapi siku hizi?1982 - Steven Pienaar anazaliwa.
Ni mwanasoka wa Afrika Kusini ambaye amecheza katika klabu za Ajax, Everton Fc, Tottenham Hotspurs, Sunderland.
Morning Charlie Chaplin, mbona umeitoa tena ile avatar???Morning le mukongo
Owkey, hapo patamuUzuri katiba yao iko wazi atapigiwa kura vivyo hivyo
Nunua bunduki coz kipapai chako kinatulizwa na ki-tango!!!Sawa ila kaa nae mbali

Merci Papaa MussoLEO KATIKA HISTORIA:
Niwatakie wikendi njema.
Hahaha! We did itnilijua nikiamka nitakuta tumepigwa 10manchester bana I luv u mata
Mmmh! Ndo hii?Baby alisema hataki nguo fupi nimetoa ya fupi nimeweka nguo ndefu