Makapuku Forum

Makapuku Forum

Jamani ni sawa kushikishana mabango namna hii hata kama ni mtuhumiwa wa uhalifu? Nasema kuwa ni mtuhumiwa kwa sababu bado kosa lake halijathibitishwa mahakamani. Na ni makosa gani ukiyatenda ndo unashikishwa bango namna hii?Bongo vituko haviishi haki ya nani!
65f02357d9025ef1ade87b02c5c4f184.jpg
 
Kumekucha salama ....
57423963201df18a989a5e7d67d3e425.jpg
89fc9dc7ea8563125bba0006b279ecd4.jpg
de39aa41cd586f7f02fc9ade1a1cd513.jpg
d2251379f31ffcccffca60961f915860.jpg
34f412a633804e0926a2c89a8a827d1c.jpg
e1efc300f1818c22baba89c8161865c0.jpg
934f8c45d1ad7e5db26e936908805de2.jpg
Asante mume-mwenza kwa magazeti ya leo. Naona ishu ya Bashite bado imeshika kasi. Inavyoonekana dogo atasavaivu hii kasheshe japo Mange binti Kimambi bado kamkalia kooni sawasawa. Nawapa pole wote waliofukuzwa kazi kwa sababu ya vyeti feki. Hakuna usawa hapa duniani aisee....
 
Asante mume-mwenza kwa magazeti ya leo. Naona ishu ya Bashite bado imeshika kasi. Inavyoonekana dogo atasavaivu hii kasheshe japo Mange binti Kimambi bado kamkalia kooni sawasawa. Nawapa pole wote waliofukuzwa kazi kwa sababu ya vyeti feki. Hakuna usawa hapa duniani aisee....
Ahaaaaaaaaaaah umeamuaa

Ache kuquote magazeti
 
Daaaaaaaaah Leo umeniamuliaa mkuu ila mbona walio single wapo wengi mkuu ....wengine wameachikaa

Naomba bhasi niachie ka shunie kangu unanitafuta maneno asubh hii kweli ....

Ngoja aamke aone maajabu ya kapuku
Utashangaa akiamka na kuunga mkono wazo langu la POLYANDRY . Jiandae kisaikolojia mkuu.

Shunie ukiamka usiniangushe. Nitakuwa angani kwa masaa sita na nusu na nikitua tu kitu cha kwanza ni mbio hapa kuja kuona kauli yako. Usije ukanihuzunisha miye kijana kutoka Koromije....
 
Kila kitu namwachiaa shunie hii vita ya shimba
Umesarenda? Kirahisi hivyo? Ni kweli unampenda Shunie wewe au gheresha tu? Ungekuwa unampenda kikweli ungempigania mpaka tone la mwisho. Aisee...

Tuonane tena baada ya masaa manane hivi inshallah. Na haya mausafiri yao ya kutetemeka mawinguni haya mi siyapendagi ila basi tu. Mi nimezoea punda kule kwetu Koromije. Msalimie Shunie...and I am logging off !
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom