Makapuku Forum

Makapuku Forum

Noma aisee
Kibaya zaidi hao buku 7 wanavamia mada ili kuibadilisha mwelekeo yaani nahisi hadi chupi wanazovaa wanapewa na makao makuu pale Lumumba na zina rangi za kijani na logo ya jembe na nyundo

.....
Madenge acha ushabiki uliopitiliza kimo. Hata hao vijana wa kibandani Ufipa nao ni vile vile. Kwa hili hakuna wa kumlaumu.

Ukitaka kwenda sawa na makundi haya jaribu kuwa objective na kuyatazama mambo kwa jicho la Utanzania kwanza. Wafia vyama vya siasa wa pande zote ni hatari!
 
kaenda kumsalimia binamu yake obe nahisi simu imeisha chaji na kwa binamu umeme hamna

hapana mm siwezi kumuacha mume sbbu ya mambo ya mpito kama yako msukuma
Umejuaje kuwa mambo yangu ni ya mpito? Na ni nani aliyekwambia umuache mume? We ngoja tu. Hapa penyewe nina zawadi yako ambayo sijawahi kuiona Bongo. Au hata kupokea zawadi huruhusiwi? Huo utakuwa utumwa sasa!
 
71d8260b425781b3533be046ca13427d.jpg
Naona City anafanya ujinga
.....
Mbape kafanya yake
 
Ulifanya mazoezi gani mpaka ukawa hoi? Isije ikawa umekutana na jimama limekupelekesha usiku kucha na sasa unasingizia gym!
Nilikua sijawahi kufanya zoezi la hivi.
Nimefanya lile zoezi la kusukuma taili nikapiga na chuma za kutosha. Sasa tumbo na kiuno leo vimekosa ushirikiano. Nimeshindwa hata kucheka mikono hoi yaani siku imeisha nipo kitandani
 
Nilikua sijawahi kufanya zoezi la hivi.
Nimefanya lile zoezi la kusukuma taili nikapiga na chuma za kutosha. Sasa tumbo na kiuno leo vimekosa ushirikiano. Nimeshindwa hata kucheka mikono hoi yaani siku imeisha nipo kitandani
Mazoezi inabidi kwenda nayo pole pole huku ukiuangalia mwili unavyo-respond. Watu wengi hupata vilema vya maisha na hata kupoteza maisha kabisa kwa kujifanya macho men kwenye gym. Tena inashauriwa sana kufanya comprehensive physical exam kabla ya kuparamia gym.

Pole sana na bila shaka ushajifunza kitu na mara nyingine utakuwa mwangalifu.
 
Mazoezi inabidi kwenda nayo pole pole huku ukiuangalia mwili unavyo-respond. Watu wengi hupata vilema vya maisha na hata kupoteza maisha kabisa kwa kujifanya macho men kwenye gym. Tena inashauriwa sana kufanya comprehensive physical exam kabla ya kuparamia gym.

Pole sana na bila shaka ushajifunza kitu na mara nyingine utakuwa mwangalifu.
Nilifuatilia uzi fulani wa jamaa Castr ndio namm nikaanza. Weee imebidi nimfuate pm nimueleze akanishauri leo nipige kidogo. Sasa nikajiuliza kama kumpiga mbu, kucheka, hata kusex pia suwez kwa jinsi nilivyo si ndio nitakufa kabisa ikabidi nipotezee. Niliiogopa nilidhan nimekata utumbo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom