Werrason
JF-Expert Member
- Nov 5, 2014
- 13,224
- 39,937
simuelewi ujue

Pouwaaapoa tu za kwako
Asante mkuuVizuri karibu tena mkuu
Sifunguagi tena hizo sredi maana nahisi kutukana mtu kwa hasira!!!Mfano ni Jukwaa la Polifix
Kuna pipo zinaitwa Lumumba buku 7 zinaudhi hadi unajiuliza hivi hawa wanaishi Masaki? Ni watoto Wa vigogo? Maana wanapost upumbavu tu kila kitu ki nachohusu nchi/serikali/Ccm kwao ni OK tu
......
Mdogo wangu pole...!Wakuu niko hoi balaaa
Toka asubuhi sijaamka kabisa
Mkuu shunie ndo kakufanya uugue hivyo au uko serious?Wewe hujawahi kuumwa eti
Jana ulimfanya nini dogo langu?pole sna Mungu akuponye nn zaidi
Wewe mvumilivu...! Ray Van boy alikula Bann akaja na id ingine mchana huo huo...Koromije kwema. Tena nimekuja na zawadi yako. Sijui hata utakavyoipata (Lee upo?)
Ban inasaidia. Ukiwa kama mimi ambaye JF ndiyo social media pekee ban inakufanya ufanye mambo mengine na inaweza kuwa sober house ya kuondokana na uraibu wa JF...
Noma aiseeSifunguagi tena hizo sredi maana nahisi kutukana mtu kwa hasira!!!
Daaah! Nishajivunza kuhandle watu wanaotukana humu...!Unafanya vizuri sana hivyo. Ni kuwaepuka tu
Nipo vzr kwa kiasi tatizo ni mazoezi tu kidogo yanitoe rohoMdogo wangu pole...!
U hali gani sasa?
Kina Lizaboni na pasco mayallaMfano ni Jukwaa la Polifix
Kuna pipo zinaitwa Lumumba buku 7 zinaudhi hadi unajiuliza hivi hawa wanaishi Masaki? Ni watoto Wa vigogo? Maana wanapost upumbavu tu kila kitu ki nachohusu nchi/serikali/Ccm kwao ni OK tu
......
+barbarosaKina Lizaboni na pasco mayalla
Hapana. Advanced stage ya Oral Cancer. Ulimi umemeguka, meno yameoza/yameng'oka na kaa kaa gumu limelika. Picha ya kawaida tu tena kutoka tovuti ya tiba. Nikala ban !Nahisi ulipost makalio
![]()
![]()
![]()
.....
Picha au video maana hiyo screenshot yako hapo kwenye bar ya juu ni full downloaded filesKupakua nini mkuu?
Ni kweli