Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,403
Wee Shunie wee. Bawasiri tena. Ilikuwa ni terminal stage ya Oral Cancer. Kinywa chote kimechakaa kabisa kabisa. Madaktari huko walikuwa wanaelimisha kuwa kisababishi kikubwa cha oral cancer kwa sasa ni tabia ya watu kuzama chumvini hovyo hovyo na haya ni matokeo ya utafiti wa kisayansi kabisa. Basi nikalimwa ban na thread ikafutwa....itakua ugonjwa wa bawasiri huo

Mbona kwa