Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,076
- 463,977
umeogopa nn tena mama mchungajiMmmh nimeogopa!imekuaje?
umeogopa nn tena mama mchungajiMmmh nimeogopa!imekuaje?
kwema msukuma za koromije, pole sana kwa ban aisee hiyo kitu naiogopa.Kwema huku? Madenge, Mukongoman,Shunie, Lee, Dikteta Mussolini, Quigley na wadau wengine mko poa? Nilikuwa nimeandamwa na kupigwa ban lakini nipo. I hope mnaendeleaje vyema.
![]()
Punguza kupakuaKwema huku? Madenge, Mukongoman,Shunie, Lee, Dikteta Mussolini, Quigley na wadau wengine mko poa? Nilikuwa nimeandamwa na kupigwa ban lakini nipo. I hope mnaendeleaje vyema.
![]()
Hakika mama mchungajiNi kweli Mkuu Nyagei bado anaweza Na anaonekana ni mwepesi kujifunza so atumie muda mwingi kuchukua yaliyo msaada
Jibu sasa Mama mchungajiHahahahaaaa..umetisha Mkuu Nyagei
Vijana wetu wengi wanapotea BlessedHope nini kifanyike kuwanusuru?Very true
Utakuwa ulimsema mtoto Wa mfalme Sizonje Daudi BashiteKwema huku? Madenge, Mukongoman,Shunie, Lee, Dikteta Mussolini, Quigley na wadau wengine mko poa? Nilikuwa nimeandamwa na kupigwa ban lakini nipo. I hope mnaendeleaje vyema.
![]()
Mpuuzi tu huyo analindwa na Sizonje ila tusubiri Binge tuone nalo km litamzima![]()
Katika ubora wake
Kupakua nini mkuu?Punguza kupakua
Koromije kwema. Tena nimekuja na zawadi yako. Sijui hata utakavyoipata (Lee upo?)kwema msukuma za koromije, pole sana kwa ban aisee hiyo kitu naiogopa.
Kuna mtu alikuwa anataka picha ya ugonjwa fulani hivi unavyoathiri kiungo fulani cha binadamu (siyo cha siri) basi nikaiweka hiyo picha na angalizo juu kuwa ile picha ilikuwa ni for educational purposes only tena kwenye jukwaa la madaktari. Bado nikalimwa ban ndeeefuuuu! Hovyo kabisa.Utakuwa ulimsema mtoto Wa mfalme Sizonje Daudi Bashite
![]()
![]()
![]()
.......
Hakuna demokrasia hapa duniani. Pengine ile ya wakazi wa Athens ya kale waliokuwa wanakutana wote pamoja katikati ya mji na kufanya maamuzi yao kwa pamoja ndiyo ilikuwa demokrasia. Nyingine hizi mbwembwe tu. Afadhali hata kuwa na lidikteta lenye uchungu na nchi kama liDuterte kuliko hii demokrasia yenye maluweluwe!
alivyosema hivyo nimekumbuka kwenye jukwaa letu pendwa hivi yale mambo uliacha kabisa toka kipindi kile ulivyoaga huwa nataka kukuuliza nasahau msukumaKupakua nini mkuu?
hahahahh msukuma ww ban inipite tu na hao wanaopewa life ban aisee mpk ufungue I'd nyingineKoromije kwema. Tena nimekuja na zawadi yako. Sijui hata utakavyoipata (Lee upo?)
Ban inasaidia. Ukiwa kama mimi ambaye JF ndiyo social media pekee ban inakufanya ufanye mambo mengine na inaweza kuwa sober house ya kuondokana na uraibu wa JF...
itakua ugonjwa wa bawasiri huoKuna mtu alikuwa anataka picha ya ugonjwa fulani hivi unavyoathiri kiungo fulani cha binadamu (siyo cha siri) basi nikaiweka hiyo picha na angalizo juu kuwa ile picha ilikuwa ni for educational purposes only tena kwenye jukwaa la madaktari. Bado nikalimwa ban ndeeefuuuu! Hovyo kabisa.
Hakuna demokrasia hapa duniani. Pengine ile ya wakazi wa Athens ya kale waliokuwa wanakutana wote pamoja katikati ya mji na kufanya maamuzi yao kwa pamoja ndiyo ilikuwa demokrasia. Nyingine hizi mbwembwe tu. Afadhali hata kuwa na lidikteta lenye uchungu na nchi kama liDuterte kuliko hii demokrasia yenye maluweluwe!
Nahisi ulipost makalioKuna mtu alikuwa anataka picha ya ugonjwa fulani hivi unavyoathiri kiungo fulani cha binadamu (siyo cha siri) basi nikaiweka hiyo picha na angalizo juu kuwa ile picha ilikuwa ni for educational purposes only tena kwenye jukwaa la madaktari. Bado nikalimwa ban ndeeefuuuu! Hovyo kabisa.