Lee
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 44,001
- 150,526
Jana ulipomkaribisha lileee jamaaaa kipi kiliendelea make usku nilichoka sana ata sikuuliza ...sante kwa magazeti
Jana ulipomkaribisha lileee jamaaaa kipi kiliendelea make usku nilichoka sana ata sikuuliza ...sante kwa magazeti
nilimalizana nae mda ule ule tu alijitambulisha jina lake akaniuliza na ww nikamwambia haya sio yaliyotuleta uku kwaheri nafunga bas lkn tulikua tumeshamalizanaJana ulipomkaribisha lileee jamaaaa kipi kiliendelea make usku nilichoka sana ata sikuuliza ...
Mmmmmmh ila ulimfungulia mlango ..na mbona nilikukuta umechoka ??nilimalizana nae mda ule ule tu alijitambulisha jina lake akaniuliza na ww nikamwambia haya sio yaliyotuleta uku kwaheri nafunga bas lkn tulikua tumeshamalizana
Mmmh! Helloznilimalizana nae mda ule ule tu alijitambulisha jina lake akaniuliza na ww nikamwambia haya sio yaliyotuleta uku kwaheri nafunga bas lkn tulikua tumeshamalizana
Shemeji yako Ngolohivi kante ndio nani
mmhMmmmmmh ila ulimfungulia mlango ..na mbona nilikukuta umechoka ??
Yes! But i will be backUnatoka kidogo?
shemelaMmmh! Helloz
simjui mnShemeji yako Ngolo
Inawezekana sana ,mtu akileta wenge ndo byebyeeee wanasomana tuu kwenye mitandao na kulikeana na kukoment ruksahahahhhh haiwezekani aisee

MmhInawezekana sana ,mtu akileta wenge ndo byebyeeee wanasomana tuu kwenye mitandao na kulikeana na kukoment ruksa
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Wewe jamaaa weweJana ulipomkaribisha lileee jamaaaa kipi kiliendelea make usku nilichoka sana ata sikuuliza ...
Khaaaa sasa kuna maana gani ya kwenda privacy.nilimalizana nae mda ule ule tu alijitambulisha jina lake akaniuliza na ww nikamwambia haya sio yaliyotuleta uku kwaheri nafunga bas lkn tulikua tumeshamalizana
Wivu kidonda ukiendekza utakonda na bashiteMmmmmmh ila ulimfungulia mlango ..na mbona nilikukuta umechoka ??
Nambie le shemejito..shemela
poa tu za kwakoNambie le shemejito..
Vizuri karibu tena mkuuYes! But i will be back
Sijatoa ya moyoni ya kidoooout
Nyie vijana mna matatizoWakuu niko hoi balaaa
Toka asubuhi sijaamka kabisa