Clkey
JF-Expert Member
- May 29, 2014
- 5,720
- 15,352
Mbonahujanitafuta nijue kama umenimissNimekimiss hatareee!
Mbonahujanitafuta nijue kama umenimissNimekimiss hatareee!
Safi sana ana moyo Wa utoaji abarikiwe![]()
![]()
![]()
Charity
......
Weweeeee! Muulize lee na shunie..!Mbonahujanitafuta nijue kama umenimiss
Herrera upo mkuu! Jana sijakuona kule kwenge pre-match discussion na kina PRONDO
1979 - Nicolas Anelka anazaliwa.
Straika wa zamani wa Arsenal, Real Madrid, Bolton, Man City, Chelsea, Juventus na timu ya Taifa ya Ufaransa.
Alikosa penati katika fainali ya ligi ya mabingwa ulaya mwaka 2008 hivyo kuipa Man Utd ubingwa.
Amezurura timu nyingi sana barani ulaya hana tofauti na Zlatan Ibrahimovic.
Heshima kwako pia mkuuAsantee mkuu!
Makupuku Heshima kwenu.![]()
Transcend amenunaa kipigooo😛 nambie shemela wa mie
1988 - Stephen Curry anazaliwa.
Ni mchezaji wa mpira wa kikapu katika timu ya Golden State Warriors.
Anatajwa kama mmoja wa Shooter hatari wa wakati wowote katika ligi ya NBA.
Mvua iliniharibia sikuMama mchungaji jana alikuwa busy sana..!
1990 - Joe Allen anazaliwa.
Kiungo wa zamani wa Swansea, Liverpool na sasa Stoke city.
Anachezea timu ya taifa ya Wales.





Pole sana mkuu!Mvua iliniharibia siku
Mwanaume hanuni mkuu!Transcend amenunaa kipigooo


1wakorintho 13:1 Hata kama nikinena lugha za watu na hata za malaika,lakini kama sina Upendo Mimi nimekuwa tu kama sauti ya debe tupu au kengele 2 Tena ,naweza kuwa na kipaji cha kutangaza ujumbe Wa Mungu,nikafahamu siri zote na kujua kila kitu;naweza kuwa na imani yote hata nikaweza kuihamisha milima,lakini kama sina Upendo Mimi si kitu 3 Nikitoa Mali yangu yote na kuwapa maskini,na tena nikiutoa mwili wangu uchomwe,kama sina Upendo hiyo hainifai chochote 4. Mwenye Upendo huvumulia,hufadhili,mwenye Upendo hana wivu,hajidai wala hajivuni. 5Mwenye Upendo hakosi adabu ,hatafuti faida yake binafsi wala hana wepesi Wa hasira haweki kumbukumbu ya mabaya 6 hafurahii uovu,Bali hufurahia ukweli 7 mwenye Upendo huvumulia yote huamini yote na hu stahimili yote. 8. Upendo hauna kikomo kamwe....Sana mama mchungaji!
Unakumbuka Amri kuu Yesu aliyowapa wanafuzi wake eeh?
Amenshukrani sana mama mchungaji...!
*CAMERAMAN WA ENZI HIZO....*
Makamera man walikuwa majeuri
kishenzi yaani! Kwanza unakuta hii
Kamera ina likamba fulani jeusi
inaning'inizwa shingoni.....
Kameraman ana kabaskeli kake hapa...
nyuma kana begi lina picha za watu ambao hawajamaliza madeni.
Kamera man anakupiga picha leo
anakwambia picha yako utaipata panapo
majaaliwa mkanda ukijaa... unaweza
kusubiri miezi miwili...
Enzi hizo kamera man ndiye anayekupangia pozi gani ukae ili upigwe....
Kamera man anampanga hadi baba yako
mzazi kwenye picha hahahahah! Baba
anakuwa mpoleeee! Kamera man anapita na kabaskeli kake
watu wanamuita anaringa huyoooo!....
ukute msimu wa sikukuu mnaweka oda
kwa kameraman wiki mbili kabla....... akija
anaanza kwanza kula pilau na soda yake
ipo amehifadhiwa.... baada ya hapo ndo anapiga picha......
Enzi hizo picha inatoka umefumba
macho, na unailipia... sio siku hizi mtu
anapiga picha mia anachagua moja ndo
anaipost mtandaoni......
*Enzi hizo sisi watoto* *tukililia picha tunapigwa* *flash kilio kinaisha*
*hapohapo.......*![]()

Asante sana imepita salama nashukuruPole sana mkuu!
Nilitingwa na mvua nikawa hoiHatujaona baraka zako jana mama mchungaji