Makapuku Forum

Makapuku Forum

94ceda6bf14f96ffa1087ef161a29a83.jpg
2f3b8e826fca7c7641983df9a0795e82.jpg
ee5a18eaab575329171f9a679ed1f11a.jpg

Charity
......
Safi sana ana moyo Wa utoaji abarikiwe
 
1979 - Nicolas Anelka anazaliwa.

Straika wa zamani wa Arsenal, Real Madrid, Bolton, Man City, Chelsea, Juventus na timu ya Taifa ya Ufaransa.

Alikosa penati katika fainali ya ligi ya mabingwa ulaya mwaka 2008 hivyo kuipa Man Utd ubingwa.

Amezurura timu nyingi sana barani ulaya hana tofauti na Zlatan Ibrahimovic.
70e98c9ee3859ad56cbe221479359813.jpg
987e41d3ce484f733fb682043ab74374.jpg
b2c55f2556df89db54079ff6f25dc093.jpg
e05a6e630ae1e42cecc1f903ba70457b.jpg
 
*CAMERAMAN WA ENZI HIZO....*

Makamera man walikuwa majeuri
kishenzi yaani! Kwanza unakuta hii
Kamera ina likamba fulani jeusi
inaning'inizwa shingoni.....
Kameraman ana kabaskeli kake hapa...
nyuma kana begi lina picha za watu ambao hawajamaliza madeni.
Kamera man anakupiga picha leo
anakwambia picha yako utaipata panapo
majaaliwa mkanda ukijaa... unaweza
kusubiri miezi miwili...
Enzi hizo kamera man ndiye anayekupangia pozi gani ukae ili upigwe....
Kamera man anampanga hadi baba yako
mzazi kwenye picha hahahahah! Baba
anakuwa mpoleeee! Kamera man anapita na kabaskeli kake
watu wanamuita anaringa huyoooo!....
ukute msimu wa sikukuu mnaweka oda
kwa kameraman wiki mbili kabla....... akija
anaanza kwanza kula pilau na soda yake
ipo amehifadhiwa.... baada ya hapo ndo anapiga picha......
Enzi hizo picha inatoka umefumba
macho, na unailipia... sio siku hizi mtu
anapiga picha mia anachagua moja ndo
anaipost mtandaoni......
*Enzi hizo sisi watoto* *tukililia picha tunapigwa* *flash kilio kinaisha*
*hapohapo.......*
 
Sana mama mchungaji!
Unakumbuka Amri kuu Yesu aliyowapa wanafuzi wake eeh?
1wakorintho 13:1 Hata kama nikinena lugha za watu na hata za malaika,lakini kama sina Upendo Mimi nimekuwa tu kama sauti ya debe tupu au kengele 2 Tena ,naweza kuwa na kipaji cha kutangaza ujumbe Wa Mungu,nikafahamu siri zote na kujua kila kitu;naweza kuwa na imani yote hata nikaweza kuihamisha milima,lakini kama sina Upendo Mimi si kitu 3 Nikitoa Mali yangu yote na kuwapa maskini,na tena nikiutoa mwili wangu uchomwe,kama sina Upendo hiyo hainifai chochote 4. Mwenye Upendo huvumulia,hufadhili,mwenye Upendo hana wivu,hajidai wala hajivuni. 5Mwenye Upendo hakosi adabu ,hatafuti faida yake binafsi wala hana wepesi Wa hasira haweki kumbukumbu ya mabaya 6 hafurahii uovu,Bali hufurahia ukweli 7 mwenye Upendo huvumulia yote huamini yote na hu stahimili yote. 8. Upendo hauna kikomo kamwe....

Lililo kuu ni UPENDO
 
*CAMERAMAN WA ENZI HIZO....*

Makamera man walikuwa majeuri
kishenzi yaani! Kwanza unakuta hii
Kamera ina likamba fulani jeusi
inaning'inizwa shingoni.....
Kameraman ana kabaskeli kake hapa...
nyuma kana begi lina picha za watu ambao hawajamaliza madeni.
Kamera man anakupiga picha leo
anakwambia picha yako utaipata panapo
majaaliwa mkanda ukijaa... unaweza
kusubiri miezi miwili...
Enzi hizo kamera man ndiye anayekupangia pozi gani ukae ili upigwe....
Kamera man anampanga hadi baba yako
mzazi kwenye picha hahahahah! Baba
anakuwa mpoleeee! Kamera man anapita na kabaskeli kake
watu wanamuita anaringa huyoooo!....
ukute msimu wa sikukuu mnaweka oda
kwa kameraman wiki mbili kabla....... akija
anaanza kwanza kula pilau na soda yake
ipo amehifadhiwa.... baada ya hapo ndo anapiga picha......
Enzi hizo picha inatoka umefumba
macho, na unailipia... sio siku hizi mtu
anapiga picha mia anachagua moja ndo
anaipost mtandaoni......
*Enzi hizo sisi watoto* *tukililia picha tunapigwa* *flash kilio kinaisha*
*hapohapo.......*
 
Mbarikiwe sana mahali hapa asante Mussolin5 kwa historia asante Bitoz kwa picha Nyagei Lee Numbisa Transcend Van? Herera21 Clkey Werrason na. wooote Mungu awabariki muwe na siku njema yenye Upendo na furaha wapi Shunie Mondray ?Mbarikiwe
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom