Transcend
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 20,553
- 63,058
Hahaha! Daah! Ile kadi ndo ilitua tuu mkuu! Otherwise mlikuwa mshacbezea...Kushinda nimeshinda ila najuta make ata chai sijaandaliwa ...
Tuunge mkono wazo is la transcend
Hahaha! Daah! Ile kadi ndo ilitua tuu mkuu! Otherwise mlikuwa mshacbezea...Kushinda nimeshinda ila najuta make ata chai sijaandaliwa ...
Tuunge mkono wazo is la transcend
Kwa kudhamiriaKutongoza nikiwa nimedhamiria au kiutani tu
Mmepata cha kusemeaHahaha! Daah! Ile kadi ndo ilitua tuu mkuu! Otherwise mlikuwa mshacbezea...
Tia vitu hapa! Pm mnafanya nini wanaume wawili..Pm ikuhusu mkuu
Njoo kwa pm bossKwa kudhamiria
Bonge la song1933 - Quincy Jones anazaliwa.
Ni mwanamuziki, mtunzi na mtayarishaji wa muziki toka nchini Marekani.
Moja kati ya kazi zake alizozitayarisha ni pamoja na Albam za Michael Jackson ya Thriller na Off the wall pamoja na Singo kali ya We are the world.





Njano ya kwanza ni kijinga sana!Mmepata cha kusemea
Pm kuna nini mkuu?Njoo kwa pm boss
Asilimia 0% apo unanyidanganya mkuu![]()
Habar makapuku wenzangu
Leo ninawatambulisha shemeji yenu huyu. Ananipenda ninampenda na ndio ananifanya niringe kitaaa. Nipeni asilimia kama yuko poa
NB. BILGATE DAUGHTER
Mkuu wewe ni ke au meAsilimia 0% apo unanyidanganya mkuu
Kwahiyo unataka privacy yangu iwe publicPm kuna nini mkuu?
Karibu baby ake..