Makapuku Forum

Makapuku Forum

Nipo mjomba, sema tu bosi karudi kakalia kitu chake na si unajua meza yangu haina kompyuta.

Vipi wewe lakini? shululu yupo kweli?
Nilisikia bossy karudi mkuu ila usiofu ule mpango wetu ukienda sawa mbona utakinyakuaa ...


Shululu kiukweli tumuulize shunie make hakuniaga ...

Bhinamuu Leo nimeagaa nalala kwako
 
Up coming sunday

Ha ahahhaha, naamini sio Makapuku waliokuchongea
Nilisikia bossy karudi mkuu ila usiofu ule mpango wetu ukienda sawa mbona utakinyakuaa ...


Shululu kiukweli tumuulize shunie make hakuniaga ...

Bhinamuu Leo nimeagaa nalala kwako


Ha ahahhaha! Mjomba, tukikamilisha deal mbona mambo yatakuwa poa sana, mimi boss wewe mjomba wa boss, inabaki kumlipa mganga tu.

Shunie ndo anajua alipo shululu?
Labda tumtafute Blessed hope BH aweza kuwa kaoteshwa
 
Nilisikia bossy karudi mkuu ila usiofu ule mpango wetu ukienda sawa mbona utakinyakuaa ...


Shululu kiukweli tumuulize shunie make hakuniaga ...

Bhinamuu Leo nimeagaa nalala kwako
Unalala wapi
 
  • Thanks
Reactions: Lee
Ha ahahhaha, naamini sio Makapuku waliokuchongea



Ha ahahhaha! Mjomba, tukikamilisha deal mbona mambo yatakuwa poa sana, mimi boss wewe mjomba wa boss, inabaki kumlipa mganga tu.

Shunie ndo anajua alipo shululu?
Labda tumtafute Blessed hope BH aweza kuwa kaoteshwa
Na shunie anajua make ashaanza kuugua magonjwa ya kumis mashemeji zake ...kwa hiyo mazingira ushaweka sawa Bhinamuu Leo bajet kwako
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom