Makapuku Forum

Makapuku Forum

Nani aliyetuletea hili likocha Jangwani lisilojua kupanga timu wala kufanya sub....kiukweli Yanga ina kikosi kizuri ila kocha ndo tatizo ndio maana morali ipo chini maana wanaona hajui afanyalo
Kwa likocha hili tutaenda. Zambia kukalishwa tu

Bring back babu Pluijm
.........
 
Kuwa kiongozi mzuri na kudumu katika siasa HASA HIZI ZA AFRIKA ni pamoja na kusoma alama za nyakati na kujishabihisha nazo. Ukiwa ngangari sana wakati mwingine unaweza kupoteza uoni hata ukasahau lengo halisi la harakati zako. Mfano mzuri ni Savimbi. Alipewa umakamu wa rais akakubali lakini baadaye akageuza gia angani akaamua kurejea msituni kupigana. Kumbe upepo ukawa umebadilika na wafadhili wake wa Kimarekani wakawa hawana umuhimu naye tena kwa sababu tayari Do Santos alikuwa amekubali kuwauzia mafuta Wamarekani na vuguvugu la vita baridi lilikuwa limekwisha. Matokeo yake akaishia kuuawa na kuzikwa kama mbwa, na leo hii yupo huko anajiozea katika shimo la historia.

Hata huyu naye angeendelea kuwa ngangari si ajabu angeishia kuuawa au kukimbilia uhamishoni. Alifanya vyema kuchukua uwaziri mkuu na nadhani lengo lake ni kuwasha moto wa kiharakati tena baada ya Mugabe ku-RIP. Tatizo, kama ilivyo kawaida ya viongozi wengi wa Afrika, naye tayari anatajwa katika kashfa kadhaa za ufisadi mzito. Keshashiba sasa na si ajabu akaachana na siasa jumla. Mianasiasa!
Upo sahihi bado tunatawaliwa na wazungu na kufuata matakwa yao na kila penye vurugu na vuguvugu kuna mkono wa Wamarekani na washirika wao

Kila chaguzi huqeka mkono
......
 
Nani aliyetuletea hili likocha Jangwani lisilojua kupanga timu wala kufanya sub....kiukweli Yanga ina kikosi kizuri ila kocha ndo tatizo ndio maana morali ipo chini maana wanaona hajui afanyalo
Kwa likocha hili tutaenda. Zambia kukalishwa tu

Bring back babu Pluijm
.........
Mtamkumbuka mzungu wenu na bado mwaka wenu huu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom