Makapuku Forum

Makapuku Forum

Upo sahihi bado tunatawaliwa na wazungu na kufuata matakwa yao na kila penye vurugu na vuguvugu kuna mkono wa Wamarekani na washirika wao

Kila chaguzi huqeka mkono
......
Uko sahihi kabisa Madenge. Naona umeanza kukomaa sasa.

Popote penye mtafaruku hapa duniani kwa namna moja au nyingine kuna mkono wa Mmarekani na vibaraka vyao. Kama we ni kibaraka wao, ujanja ni kujua lini umuhimu wako umeisha halafu una-act accordingly. Uki-overestimate umuhimu wako ndo hayo ya akina Savimbi na Mobutu Seseseko Kuku Ngbendu Wa Za Banga yanakukuta. Wanakutelekeza jumla bila huruma.
50ed4618fbcf06ae6be23015b5448aa4.jpg
a63d02124cc85dee624a7f7e0c3e3d9d.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom