Camilo Cienfuegos
JF-Expert Member
- Apr 23, 2015
- 19,226
- 68,242
Barca atashinda lakini hatasonga mbeleUtabiri wako tafadhali
Barca atashinda lakini hatasonga mbeleUtabiri wako tafadhali
Baby!!
Sweety!!
Honey pie!!
Boo boo!!
Barafu wa moyo wangu Mondray.... Njoo tulale

Baby!!
Sweety!!
Honey pie!!
Boo boo!!
Barafu wa moyo wangu Mondray.... Njoo tulale

Amenishangaza sana huyo staff huku hajaajiriwa sio kondakta sio utingo sio mbeba magunia ya mkaa ..hashuki kwenye gari sijui kazi zake anafanya saa ngapi...duniani kuna mambo!TANZANIA PEKEE NDIO KUNA ABIRIA AINA SABA.( 7 ).
_________________________________________________
1.Yupo abiria anayemtukana Konda ...lakini kumbe nauli ameacha nyumbani.
2.yupo aliyepitiwa na usingizi...huyu anapokurupuka hajielewi....utasikia shushaaaa bwege wee!..........anashushwa kambi ya jeshi!
3 .Yupo mwingine msumbufu na mvivu halafu ana lawama....huyu anakaa mbali na mlango halafu usishangae akaomba msaada kwenye round about.
4.Yupo aliye makini na Safari..yeye anakwenda na Muda, huyu ukimpitisha kituo gari itajikuta Sumatra Head office.
5.Halafu Yule wa siti ya nyuma yeye hukoroma na tiketi mkononi ...huyu haigwi. ...maana mara nyingi hushukia kituo cha mwisho hata kama ni Makaburini.
6.Yupo asiyeelewa jina la kituo..amekariri panauzwa Mananasi Mengi, sasa akikuta Wameweka Matikiti basi ataenda na gari mpaka gereji.
7.Wa mwisho ni Staff...halipi nauli...huyu yeye hana safari maalum, ni kama anafanya utalii wa ndani, huyu hashuki hata kama ni trip ya Mkaa.
kapuku katika ubora wake
Lugha ya jahazi, sio ile ya Chattle.Lugha iliyosafiri au za humu humu ndani?
Asante mama mchungaji..!Kawaida tu atasahau muombee tu muda unatibu..mtakua na amani tele
Malizia kona kabisa mkuu?Barca atashinda lakini hatasonga mbele
Why not!!!Kuwavna siku zote zilizobaki peke yenu..siku za wanaume duniani

Kona ipi?Malizia kona kabisa mkuu?
Yapo ili dunia iendeleeAmenishangaza sana huyo staff huku hajaajiriwa sio kondakta sio utingo sio mbeba magunia ya mkaa ..hashuki kwenye gari sijui kazi zake anafanya saa ngapi...duniani kuna mambo!
Baltika naijua ila baltika zero siijuiBaltika ni biere without alcohol
naijuaHujui sukali gulu!!!
nakulaga na lee
hahahahh poleeUngejua kuwa huku kumenisaidia! Home hapaliki hapalaliki...! Yule binti ya kinyiramba arsenal ikifungwa ni tabu...
Ila nakuja hii week
Tunakupenda piaNamtania tuu ! Transcend anawapenda rafiki zake!
Shunie and Lee empire nawapenda wotee

Lazima akimbie tu huyo yeye mwenyewe hajavuka na jahazi ataanzaje kuifuatilia hiyoLugha ya jahazi, sio ile ya Chattle.
Ni wakazi wa chattleKupuku ndio nn
Kama ni 2-0 au 3-1Kona ipi?
Anaonyesha udhaifu mkubwa sana.Lazima akimbie tu huyo yeye mwenyewe hajavuka na jahazi ataanzaje kuifuatilia hiyo
Acha tu mkuu ,kuna mfanyabiashara kajiua Dodoma wamekamata mzigo wake wa viroba wa pesa nyingii,kashindwa kuvumilia so sad,na baltika zilivyojaa wengi tutawapoteza ....Kama vp nazo wazpge marufuku tu