Nyagei
JF-Expert Member
- Jul 7, 2015
- 13,201
- 44,601
Nimeona tofauti![]()
Ukiona kitu tofauti gonga like.
Nimeona tofauti![]()
Ukiona kitu tofauti gonga like.
Umeona nn tuambieNimeona tofauti
Nimebahatika kuliona la Thrilla in Manilla pekee1971 - Pambano baina ya Joe Frazier dhidi ya Muhamad Ali lafanyika huko Madison Square.
Pambano hilo lililopachikwa jina la " Fight of the Century " liliwakutanisha mabondia ambao hapo awali hawakuwa wamepoteza mapambano yoyote.
Mohamed Ali alipoteza pambano hilo baada ya raundi 15 za kukata na shoka.
Inasemekana hakuna pambano la ngumi lilikuwa kali na la kuvutia zaidi ya hili.
Hata waliporudiana katika pambano lililojulikana kama " Thrilla in Manilla " ambapo Ali alishinda bado pambano hili halikufua dafu kwa lile la kwanza.
Tuko pamojaNzuri kapuku
mimi man u baby ni chelseaUnashabikia timu gani, na baby wako anashabikia timu gani?
hapo kwenye kujipodoa ni kweli```
JE UNAJUA????
Siku ya mwanamke duniani originally ilipangwa isherekewe tar 25 February .....
Ila kutokana na kujianda kwingi, kujipodoa na kujiangalia saana wakajikuta wanachelewa hadi wakasherekea tar 8 March......
JE WAJUA?
Hata siku ya mwanaume duniani ilipangwa......
Ila kama kawaida yetu wazee wa kupotezea vitu vya kijinga tumeshasahau ni tar Ngapi.....
![]()
hahahh et handsome chicharito yupoLe mushenga ...yeye Manchester United eti kisa anajua handsome chicharito bado yupo ...mie Chelsea una kingine??
kwahyo wifi yangu ndio anaachwa ila ckley hana bahati na wanaume zake bora mngemuachia fakalava tuAyaaaaaaaaa! Jamaaani nimekuja kwa ajili ya hili...!
Yaani nilikuwa mbali..!
madame S umepoteaHope ya'all fine
Happy women's day
Mama nipo shughuli tu zinanibanamadame S umepotea
mpo poa lkn we n mshkaji wanguMama nipo shughuli tu zinanibana
Nawaona J3 mtakavyokuwa mnaangalianamimi man u baby ni chelsea
Same to you MadameHope ya'all fine
Happy women's day
Siku zote zilizobaki ni za wanaume!!!```
JE UNAJUA????
Siku ya mwanamke duniani originally ilipangwa isherekewe tar 25 February .....
Ila kutokana na kujianda kwingi, kujipodoa na kujiangalia saana wakajikuta wanachelewa hadi wakasherekea tar 8 March......
JE WAJUA?
Hata siku ya mwanaume duniani ilipangwa......
Ila kama kawaida yetu wazee wa kupotezea vitu vya kijinga tumeshasahau ni tar Ngapi.....
![]()
Jamani jamani hajui kuwa tupo kwaresma?
Wewe wa tano ...
Muulize Quigley

Kingine mtumie Sakayo zile RedbullLe mushenga ...yeye Manchester United eti kisa anajua handsome chicharito bado yupo ...mie Chelsea una kingine??

Ayaaaaaaaaa! Jamaaani nimekuja kwa ajili ya hili...!
Yaani nilikuwa mbali..!

WeweNani atatupia 140k??