Da'Vinci
JF-Expert Member
- Dec 1, 2016
- 36,007
- 108,557
Lee mutuzU can
![]()
![]()
![]()
![]()
Lee mutuzU can
![]()
![]()
![]()
![]()
How come umpendae unamuita DEMU....Lee mutuz
Nzuri kapukuZa asubuhi Kapuku's!
Heri iwe kwao wanawake wote siku ya leo
Daaah unajua ni kupitiwa tu mkuu sijawahi kulitumia hilo jina kwa mtu yoyote Unfortunately tuHow come umpendae unamuita DEMU....
Na usivimbe bichwa mkuu jana tulkuwa tunakuchora na bahat yako niliupunyua mapemaDaaah unajua ni kupitiwa tu mkuu sijawahi kulitumia hilo jina kwa mtu yoyote Unfortunately tu
Tutaona mkuu...Na usivimbe bichwa mkuu jana tulkuwa tunakuchora na bahat yako niliupunyua mapema
Mzee Quigley ndo mmiliki halali
Sorry mkuu ila umeelewaa ??Tutaona mkuu...
Hako kaneno kuupunyua kamenichekesha aiseeee
Leo Katika Historia:
1817 - Soko la Hisa la New York ( New York Stock Exchange ) laanzishwa.
Aiseee ngoja Leo nipahame humu kwa mudaSorry mkuu ila umeelewaa ??
Paprika shemela wetu njoo nikwambie
1921 - Waziri Mkuu wa Hispania Eduardo Dato Iradier anauliwa alipokuwa anatoka nje ya Bunge la Nchi hiyo.
1971 - Pambano baina ya Joe Frazier dhidi ya Muhamad Ali lafanyika huko Madison Square.
Pambano hilo lililopachikwa jina la " Fight of the Century " liliwakutanisha mabondia ambao hapo awali hawakuwa wamepoteza mapambano yoyote.
Mohamed Ali alipoteza pambano hilo baada ya raundi 15 za kukata na shoka.
Inasemekana hakuna pambano la ngumi lilikuwa kali na la kuvutia zaidi ya hili.
Hata waliporudiana katika pambano lililojulikana kama " Thrilla in Manilla " ambapo Ali alishinda bado pambano hili halikufua dafu kwa lile la kwanza.
2014 - Ndege ya Shirika la ndege la Malaysia iliyokuwa imebeba abiria 239 ikitokea Kuala Lumpur kwenda Beijing yapotea na kutoonekana katika vyombo vya usalama.