Makapuku Forum

Makapuku Forum

```
JE UNAJUA????
Siku ya mwanamke duniani originally ilipangwa isherekewe tar 25 February .....
Ila kutokana na kujianda kwingi, kujipodoa na kujiangalia saana wakajikuta wanachelewa hadi wakasherekea tar 8 March......

JE WAJUA?

Hata siku ya mwanaume duniani ilipangwa......
Ila kama kawaida yetu wazee wa kupotezea vitu vya kijinga tumeshasahau ni tar Ngapi.....


 
2f0b99bb91323958398e973b1840e569.jpg

Ukiona kitu tofauti gonga like.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom