Werrason
JF-Expert Member
- Nov 5, 2014
- 13,224
- 39,936
Mwaka gani hii?1. PL Player of the year - NGOLO KANTE
2. Manager of the year - Antonio Conte
3. Young playér of the year - Dele Alli
4. Goalkeeper of the year - Hugo Lloris
5. EFL player of the year - Tom Cairney
6. Outstanding Contribution to London Football Frank Lampard.
Hizi ni tuzo za mwaka jijini London.... Hivi ile timu yetu si ipo London au nauliza tu ? Maana hata tuzo za ng'olo kante zilikuwepo London.
Cc: shululu![]()
Mwaka huuMwaka gani hii?
JE WAJUA
Kwenye shindano la kutafuta watu wanao fanana na CHARLIE CHAPLIN na yeye mwenyewe alishiriki lakini alitoka mshindi wa tatu
yeye mwenyewe hafanani na yeye

JE WAJUA??
Hippopotomonstrosesquippedaliophobia
Ni uoga wa maneno/neno refu au marefu

Hahaaa yaani mm mwenyewe nashangaa![]()
![]()
![]()
![]()
yeye mwenyewe hafanani na yeye
![]()
![]()
Hela unahesabu mpaka ngapi?Hahaa aisee ninaweza kuhesabu hela tu ila namba siwez
JE WAJUA??
Bajeti ya kila Episode moja kwenye series ya WALKING DEAD ni Dollar Million 2. 8
Sijui wanapata faida shilingi ngapi?
Zimetolewaa Jana mkuuMwaka gani hii?
Ni nzuri hiyo series?.....usijekuta kuna u-fleemasonJE WAJUA??
Bajeti ya kila Episode moja kwenye series ya WALKING DEAD ni Dollar Million 2. 8
Sijui wanapata faida shilingi ngapi?

Hela ishu nyingine hata kontena mimi nahesabuHela unahesabu mpaka ngapi?
Nzuri kiasi chake micheki mkuuNi nzuri hiyo series?.....usijekuta kuna u-fleemason![]()
Kweli mama mchungaji bado ana kazi kubwaNi nzuri hiyo series?.....usijekuta kuna u-fleemason![]()
JE WAJUA??
Leonardo da Vince alitumia miaka 12 kuchora lips za monarisa