Bitoz
JF-Expert Member
- Aug 27, 2015
- 30,823
- 126,632
1989 - Toby Alderweireld anazaliwa.
Ni beki kisiki wa timu ya Tottenham na timu ya taifa ya Ubelgiji.
1989 - Toby Alderweireld anazaliwa.
Ni beki kisiki wa timu ya Tottenham na timu ya taifa ya Ubelgiji.
Urakoze mutanyi wanje
umeniacha kaliakoo!!!Hakika leo ni siku yao.Naona leo ni siku ya kuzaliwa footballerz
RacismHivi shida nini?
Unajiita werrason halafu hujui lugha ya jirani yako hahaaaaumeniacha kaliakoo!!!
Anayebadilishana na Putin ni Dmitry MedvedevLabda nimekosea kuna mwingine anayebadilishana na Putin
Musso atatujuza
......
Namwelewa sana huyu jamaa. Sema kwa kuwa yupo Spurs hazungumzwi sana.
Haswaa mkuuRacism
.........
Au ww sio mubhembe munyamba kumawe
Wao ni heri kuwa na Gay Pope kuliko Black PopeHaswaa mkuu
Inasikitisha sana.Wao ni heri kuwa na Gay Pope kuliko Black Pope
🙂 🙂 🙂
....
Ovuuuukoooooziiiikwahiyo anapenda chura au
Pole sana umeenda hospitali?ninakuombea Mungu akukumbuke na akuguse upate uponyaji wa mwili na rohoGood morning brothers nawatakia siku njema na kwaresma njema. Hali yangu sio nzuri kivile vidonda tumbo vinanisumbua .. Pray for me guyz
Sijaenda hospital kwan ugonjwa wangu naufaham nilishakwenda sana hukoPole sana umeenda hospitali?ninakuombea Mungu akukumbuke na akuguse upate uponyaji wa mwili na roho
Zaburi 147:3 Huwaponya waliopondeka moyo ,Na kuziganga jeraha zao...
namwomba Mungu akuponye vidonda hivyo Mungu akubariki.
Upo dear ubarikiwe sana nimekumiss hapanawe pia santee kwa magazeti
Kula muhimu na usingizi ni muhimu sana sana jitahidi sana ubadili lifestyle ili uepukane na magonjwa hiyo inaweza kukupelekea kupata shida hii unayoipata sasa..Mungu akusaidie sanaKilevi changu namba moja ni Kutizama Movie naweza acha kula au kukesha
Ahsante sasa hv nimebadir January kurud nyuma nilikua nalala saa 9 ila sasa saa6 tu nalala.. Daah kwaresma sijui kama nitashiriki vzrKula muhimu na usingizi ni muhimu sana sana jitahidi sana ubadili lifestyle ili uepukane na magonjwa hiyo inaweza kukupelekea kupata shida hii unayoipata sasa..Mungu akusaidie sana
Ni vema ujali afya yako sana afadhali ule ushibe lakini ufanye TOBA,UTOE SADAKA NA MUNGU ATAUJALI MFUNGO WAKO MAANA UTAKUA UMESAIDIA WAHITAJI MUNGU ANAJUA UNALOPITIA POLE SANAHapana mkuu karibia miaka 4 ninayo ila jana nilijaribu kufata sheria za kanisa ndo ikawa hivyo