Makapuku Forum

Makapuku Forum

1947 - Harry Redknapp anazaliwa.

Ni kocha wa zamani wa West Ham, Tottenham, QPR, Southampton na Portsmouth.

Alichukua ubingwa wa Kombe la F.A mwaka 2008 akiwa kama kocha na Portsmouth.

Ni mjomba wake na Frank Lampard.

Aliwapeleka Tottenham kwenye Uefa Champions League kwa mara kwanza katika historia ya klabu hiyo mwaka 2010.
08f030da79f407a4a46c77d799744b98.jpg
2269d6a18fbe80ef1cc0183f18f94912.jpg
9ce57acb90bf49731c32a43aa44f1a0f.jpg
 
1947 - Harry Redknapp anazaliwa.

Ni kocha wa zamani wa West Ham, Tottenham, QPR, Southampton na Portsmouth.

Alichukua ubingwa wa Kombe la F.A mwaka 2008 akiwa kama kocha na Portsmouth.

Ni mjomba wake na Frank Lampard.

Aliwapeleka Tottenham kwenye Uefa Champions League kwa mara kwanza katika historia ya klabu hiyo mwaka 2010.

1972 - Mauricio Pochettino anazaliwa.

Mchezaji wa zamani wa Argentina na Kocha wa sasa Tottenham Hotspurs ya Uingereza.

Kwangu mimi namchukulia kama kocha bora kwenye EPL ingawa amechemsha vibaya kwenye UEFA.

1979 - Damien Duff anazaliwa.

Winga wa zamani wa Chelsea, Fulham na timu ya taifa ya Ireland.

1989 - Toby Alderweireld anazaliwa.

Ni beki kisiki wa timu ya Tottenham na timu ya taifa ya Ubelgiji.
Naona leo ni siku ya kuzaliwa footballerz
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom