Werrason
JF-Expert Member
- Nov 5, 2014
- 13,224
- 39,937
Hongera yake bwana wengine tunatafuta bahat kama hzo

Hongera yake bwana wengine tunatafuta bahat kama hzo

tamuuukwahyo kilevi chako ni nn

1947 - Harry Redknapp anazaliwa.
Ni kocha wa zamani wa West Ham, Tottenham, QPR, Southampton na Portsmouth.
Alichukua ubingwa wa Kombe la F.A mwaka 2008 akiwa kama kocha na Portsmouth.
Ni mjomba wake na Frank Lampard.
Aliwapeleka Tottenham kwenye Uefa Champions League kwa mara kwanza katika historia ya klabu hiyo mwaka 2010.
1968 - Daniel Craig anazaliwa.
Ni msanii wa filamu za kutoka nchini Uingereza.
Aliigiza kama mhusika " James Bond " katika filamu za Casino Royale, Skyfall na Spectre.
1947 - Harry Redknapp anazaliwa.
Ni kocha wa zamani wa West Ham, Tottenham, QPR, Southampton na Portsmouth.
Alichukua ubingwa wa Kombe la F.A mwaka 2008 akiwa kama kocha na Portsmouth.
Ni mjomba wake na Frank Lampard.
Aliwapeleka Tottenham kwenye Uefa Champions League kwa mara kwanza katika historia ya klabu hiyo mwaka 2010.
1972 - Mauricio Pochettino anazaliwa.
Mchezaji wa zamani wa Argentina na Kocha wa sasa Tottenham Hotspurs ya Uingereza.
Kwangu mimi namchukulia kama kocha bora kwenye EPL ingawa amechemsha vibaya kwenye UEFA.
1979 - Damien Duff anazaliwa.
Winga wa zamani wa Chelsea, Fulham na timu ya taifa ya Ireland.
Naona leo ni siku ya kuzaliwa footballerz1989 - Toby Alderweireld anazaliwa.
Ni beki kisiki wa timu ya Tottenham na timu ya taifa ya Ubelgiji.
Merci PapaaLeo katika Historia:
Niwatakie Alhamisi njema.

Gorbachev alikuwa rais nadhani miaka ya 1990![]()
![]()
![]()
Hupokezana urais na Putin
Mmoja akiwa Rais mwenzake anakuwa Waziri Mkuu ndo utaratibu wao
....
1972 - Mauricio Pochettino anazaliwa.
Mchezaji wa zamani wa Argentina na Kocha wa sasa Tottenham Hotspurs ya Uingereza.
Kwangu mimi namchukulia kama kocha bora kwenye EPL ingawa amechemsha vibaya kwenye UEFA.
ata mm nilihisitamuuu![]()

Labda nimekosea kuna mwingine anayebadilishana na PutinGorbachev alikuwa rais nadhani miaka ya 1989
kwahiyo anapenda chura auOooook mkuu shemela wako atakupa jibu
Athanteee mkuu ngoja nivitafuteMorning bro, kuna ndugu yangu aliumwa vidonda vya tumbo akatumia dawa za TIANS akapona kabisa.....hebu fanya kuwatafuta kama hutajali.
Dmitry MedvedevLabda nimekosea kuna mwingine anayebadilishana na Putin
Musso atatujuza
......
Tians ni kampuni ya kichina inapima na kutibu kwa dawa za kichina BablaiAthanteee mkuu ngoja nivitafute
1979 - Damien Duff anazaliwa.
Winga wa zamani wa Chelsea, Fulham na timu ya taifa ya Ireland.
Morning papaGoodmorning family
Urakoze mutanyi wanjeTians ni kampuni ya kichina inapima na kutibu kwa dawa za kichina Bablai
ThanksAthanteee de big dikteta musolini5 have a nice day
Hivi shida nini?![]()
![]()
![]()
Hakuna Papa mweusi
.....