Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,076
- 463,978
nawe pia santee kwa magazetiTuwe na Siku njema
nawe pia santee kwa magazetiTuwe na Siku njema
Mmh sbbu ya kwaresma vimeanza kusumbua auGood morning brothers nawatakia siku njema na kwaresma njema. Hali yangu sio nzuri kivile vidonda tumbo vinanisumbua .. Pray for me guyz
kwahyo kilevi chako ni nnAhsante mkuu
Situmii kilevi chochote wala sigara mkuu na sitawahi nitumie
hahahhhUache ubashite![]()
![]()
![]()
![]()
Kilevi changu namba moja ni Kutizama Movie naweza acha kula au kukeshakwahyo kilevi chako ni nn
Hapana mkuu karibia miaka 4 ninayo ila jana nilijaribu kufata sheria za kanisa ndo ikawa hivyoMmh sbbu ya kwaresma vimeanza kusumbua au
pole sanaHapana mkuu karibia miaka 4 ninayo ila jana nilijaribu kufata sheria za kanisa ndo ikawa hivyo
Ahsante mkuupole sana
Mkuu 'chura'Kilevi changu namba moja ni Kutizama Movie naweza acha kula au kukesha
Sijakupata LeeMkuu 'chura'
In ubashite mode
Pole sana mkuuGood morning brothers nawatakia siku njema na kwaresma njema. Hali yangu sio nzuri kivile vidonda tumbo vinanisumbua .. Pray for me guyz
GudDikteta atakuja mwenyewe, nasafisha njia tuu
Tarehe 2 Machi
2 Mar, 1836 - Jimbo la Texas, ambalo ni la pili kwa ukubwa katika USA linapata uhuru wake toka kwa Mexico.
2 Mar, 1990 - Rais wa kwanza mzalendo baada ya ukaburu kuanguka Nelson Mandela
anachaguliwa kuwa naibu rais wa ANC. Rais wa ANC wakati huo alikuwa ni Oliver Reginald Tambo
Oooook mkuu shemela wako atakupa jibuSijakupata Lee
Ok nimekupata boss napenda hayo mambo kidogo sana ila yananilazim niyafanye kwan mm n mwanaumeOooook mkuu shemela wako atakupa jibu
Thanx sana mkuu musolini5Pole sana mkuu