Camilo Cienfuegos
JF-Expert Member
- Apr 23, 2015
- 19,230
- 68,257
1931 - Mikhail Gorbachev anazaliwa.
Ni Rais wa zamani wa Urusi aliyekuwa madarakani wakati USSR inavunjika.
Ni mshindi wa tuzo ya amani ya Nobel.
Anatajwa kama pandakizi la CIA aliyeangusha Umoja wa Kisoviet wa kijamaa wa USSR kutokana na vita baridi dhidi ya Marekani.
Ni Rais wa zamani wa Urusi aliyekuwa madarakani wakati USSR inavunjika.
Ni mshindi wa tuzo ya amani ya Nobel.
Anatajwa kama pandakizi la CIA aliyeangusha Umoja wa Kisoviet wa kijamaa wa USSR kutokana na vita baridi dhidi ya Marekani.


