Transcend
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 20,553
- 63,058
Pamoja mkuu!Ni 93 mkuu
Pamoja mkuu!Ni 93 mkuu
Kapo amazing ! Anakwambia anapozeeka ndo anakuwa strong!Kale kababu basi tu


1991 - Riyad Mahrez anazaliwa.
Mchezaji wa Leicester City na timu ya taifa ya Algeria.
Alitwaa ubingwa wa EPL akiwa na Leicester city mwaka 2015/2016.
Bitoz hutusaidia kuweka picha.Big up man.
My take.
Uwe unatuwekea na tupicha ili kunogesha zaid na tuweze kuwafaham kwa sura.
Just an opinion not an order
Ahsante sana halafu lee empire kitambo simuoniBitoz hutusaidia kuweka picha.
Rais wa Maisha. Simba wa Afrika.![]()
![]()
![]()
Rais wa maisha
......
Hahaha...![]()
![]()
![]()
Now anaisaidia kushuka daraja
......
atakua anapagawishwa na nn jamaanUdaku![]()
![]()
![]()
mm apaMorning jooh!
Shemela shunie?
nimekumiss miss kidogo lknMzima kabisa kipenda roho changu
Basi leo Clkey kaamka mapemaa!
Kaniwekea Maji ya uvuguvugu nioge..! Afu imefuatia breakfast matataaaa...
Wakati mwingine natamani arsenal washinde kila game..![]()


aiseeBhinamu bhinamu ,sawa uliniachia kwa mda ila bhinamu wewe si ulikuwa na apoitiiiimentiiii na kale ka modooo ....mm nilituliaa nkaamukia ofisin
Usinichonganishe na my Shunie plz nilimuaga nina kikao
unatumia kwan cha jamaicaAchana na unga wa chaki...!
Kula zile mboga wanalima jamaica mkuu! Zile yaani

mambo yapiiii wengine watotoBaby akee! Asantee kwa yale mambo ya asubuhi...
hahahhhh![]()
hny bwana unawafaidisha watu ujue wakintongoza shaur yako
Johnson katupwa njeKukutongoza lazima manake wewe ni kisuu...
Yaani wakifanya hivyo ina maana nilichagua kisuuuu!
Though kukuchukua wasahau ! Ushalogeka kwa jombaa hapa.