Makapuku Forum

Makapuku Forum

Ulinambia ata juzi ...kwa hiyo wanakukomoaa ? Hivi yule wa nyumba t pili kushoto kuelekea kusin kulia mtaa wa pili kutoka kwako kama unaifata nyumba ya jirani yako shululu ashaacha tabia yake ya kufungulia MZIKI mnene usiku wa manane ..??


Loh, aache wapi anko, sasa kazidi, anawasha na jenereta kabisa,ukimuuliza anasema linasaidia kufukuza mbu🙁! au inaweza kuwa kweli eeh🙄
 
Loh, aache wapi anko, sasa kazidi, anawasha na jenereta kabisa,ukimuuliza anasema linasaidia kufukuza mbu🙁! au inaweza kuwa kweli eeh🙄
Lakini bhinamu yawezekana hataki muwe mnasikia anachokifanya ?? Make unakumbuka tulivotoka kupiga kilaji Siku ile nkaogopa kwenda kwa aunt yako nkaupunyua kwako na umeme ukakatika ..vile vita tuliyosikia ndani kwanza kile kisauti mpaka ukakimbilia maliwato
 
Lakini bhinamu yawezekana hataki muwe mnasikia anachokifanya ?? Make unakumbuka tulivotoka kupiga kilaji Siku ile nkaogopa kwenda kwa aunt yako nkaupunyua kwako na umeme ukakatika ..vile vita tuliyosikia ndani kwanza kile kisauti mpaka ukakimbilia maliwato

Uliniambia nikuachia room una mgeni mubashara, nikaondoka nikaenda kwa yule jirani yangu singoledi

C.C Shunie kwa taarifa.(mkazo kwa nilipobold auntie)
 
Uliniambia nikuachia room una mgeni mubashara, nikaondoka nikaenda kwa yule jirani yangu singoledi

C.C Shunie kwa taarifa.(mkazo kwa nilipobold auntie)
Bhinamu bhinamu ,sawa uliniachia kwa mda ila bhinamu wewe si ulikuwa na apoitiiiimentiiii na kale ka modooo ....mm nilituliaa nkaamukia ofisin

Usinichonganishe na my Shunie plz nilimuaga nina kikao
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom