BlessedHope
JF-Expert Member
- Jan 29, 2016
- 7,989
- 32,647
Muwe Na siku njema sana Mungu awabariki
Buinamuuu uko poaMorning Makapuku, tuwe na siku njema
Shemela kafurahiKwema mkuu!
Za usiku?
Mzima kabisa kipenda roho changuMorning jooh!
Shemela shunie?
Basi leo Clkey kaamka mapemaa!Mzima kabisa kipenda roho changu
Msalimie sana mkuu..sijamuona muda nowMzima kabisa kipenda roho changu
Bwanabwanaaaah ....inapendeza sana ngoja wafumuliwe sasa ndo utajutaaBasi leo Clkey kaamka mapemaa!
Kaniwekea Maji ya uvuguvugu nioge..! Afu imefuatia breakfast matataaaa...
Wakati mwingine natamani arsenal washinde kila game..
Buinamuuu uko poa
Zimefika ila jana mbona aliwatembeleaa??Msalimie sana mkuu..sijamuona muda now
Ulinambia ata juzi ...kwa hiyo wanakukomoaa ? Hivi yule wa nyumba t pili kushoto kuelekea kusin kulia mtaa wa pili kutoka kwako kama unaifata nyumba ya jirani yako shululu ashaacha tabia yake ya kufungulia MZIKI mnene usiku wa manane ..??Nipo poa sana mjombaangu, sema tu kunguni wamevamia majirani zangu, hawalali na wananinyima usingizi kwa makelele.
Siku njema anko